kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Tuachane na hoja za hao wengine wanaodai michuano haikuwa na faida kwao baada ya kutolewa.
Hii michuano imekua muhimu sana Kwa Simba SC Kwa sababu imempa kocha Benchika.
Nafasi ya kuwajua vyema wachezaji wote waliopo kikosini Simba SC.
Ikumbukwe Benchika Hana muda mrefu tangu ajiunge na Simba SC akitokea USM algers.
Kingine michuano hii imewasaidia baadhi ya wachezaji wa Simba SC kupandisha viwango vyao hasa wale waliokua wanaonekana kupotea, Leo nikimuangalia Luis Miquissone sio yule aliekua anaonekana miezi miwili nyuma.
Nawapa pongezi upande wa pili fc Kwa kutimiza azma yao ya kuondoshwa katika michuano.
Hii michuano imekua muhimu sana Kwa Simba SC Kwa sababu imempa kocha Benchika.
Nafasi ya kuwajua vyema wachezaji wote waliopo kikosini Simba SC.
Ikumbukwe Benchika Hana muda mrefu tangu ajiunge na Simba SC akitokea USM algers.
Kingine michuano hii imewasaidia baadhi ya wachezaji wa Simba SC kupandisha viwango vyao hasa wale waliokua wanaonekana kupotea, Leo nikimuangalia Luis Miquissone sio yule aliekua anaonekana miezi miwili nyuma.
Nawapa pongezi upande wa pili fc Kwa kutimiza azma yao ya kuondoshwa katika michuano.