The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 852
- 1,745
Microfinance nyingi ni za kitapeli hasa hizi za mtaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliiba simu wakaacha laini na namba yao! Wezi wa siku hizi wanajali
AloooNasikia wanaroga sana ili usilipe huenda ndo maana uliibiwa pesa uliyotaka kulipa
Mheashimu MTU wahivyoMna moyo sana wakopaji wa kwenye hivyo vitaasisi vidogo vya kifedha. Hapa nilipo kuna watu mpaka nawashangaa! Yaani kila siku wanatakiwa kupeleka marejesho ya mkopo!
Aisee ningekuwa mimi nisingeweza.