Heshima kwenu wakuu,
Kuna ndugu yangu anataka kuanzisha Biashara ya kukopesha PESA kwa Riba anataka iwe OFFICIAL so anataka kujua namna yakuisajili kampuni yake. Pia kupata LESENI utaratibu ukoje? yaani vitu gani vinatakiwa.
Wakuu kwa yeyote mwenye ufahamu wa jambo hili Msaada plz!