Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Nahitaji pia lending policy. Email mihayo1985@gmail.comKama unahitaji lending policy ambayo ni professional. Tutafute Anjoa kwa namba hizo hapo chini. Ushauri utatolewa bila malipo. Karibu sana.
Asante Mihayo.Nahitaji pia lending policy. Email mihayo1985@gmail.com
Watu wakae wadraft watengeneze na wawe wanazifanyia updates, we upewe Bure!!!! Ndio maana microfinance watu wanachemka wanashindwa. Biashara ya kukopesha si kutoa tu pesa hata kama unazo, unatakiwa upate consultant akupe ushauri general, akutayarishie policy na miongozo utakayoisimamia, akudraftie forms zote, mikataba etc.. We unataka upewe Bure duuh.. Wabongo msirahisishe mambo kila jambo Lina utaalamu wake.Sasa naanza kuelewa umasikini wa waafrika ni UBINFSI NA UJINGA kwanini msiweke hapa maelezo ya kina kuhusu lending policy mnabaki kutoa na kutangaza biashara tu watanzania achene ubinafsi kama wa bibi zetu kushindwa kutufundisha uchawi wa kupaa na ungo
Sasa we unadhani hicho unachokizungumza kinaugumu kama unavyoeleza wanawakamata wajinga tu kwakua hata ukienda hapo Blela utaelekezwa njisi ya kuandika hicho kitu wenzetu wampiga hatua hwana uchoyo unaouzungumza hapaWatu wakae wadraft watengeneze na wawe wanazifanyia updates, we upewe Bure!!!! Ndio maana microfinance watu wanachemka wanashindwa. Biashara ya kukopesha si kutoa tu pesa hata kama unazo, unatakiwa upate consultant akupe ushauri general, akutayarishie policy na miongozo utakayoisimamia, akudraftie forms zote, mikataba etc.. We unataka upewe Bure duuh.. Wabongo msirahisishe mambo kila jambo Lina utaalamu wake.