Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Wakuu baada ya kutafuta microfinance kwa muda mrefu na kushindwana na wale wanaouza kwakuwa wao wamekuwa wakitaka ninunue pamoja na madeni wanaowadai wateja wao kitu ambacho sikuwa tayari na hilo kwakuwa uendeshaji wetu wa microfinance ni tofauti sana na uendeshaji wa watu wengi hivyo kununua madeni hayo ningejiingiza kwenye kazi ambayo sipo kuifanya kwasasa.
Sasa nilienda wizarani kuwasilisha maombi yangu ya kufungua microfinance na walinitajia vitu vya kuambatanisha katika maombi hayo, ninavyo vitu vyote isipokuwa lending policy.
Hivyo wadau naombeni mnisaidie sample ya lending policy ili mapema wiki hii nikasubmit application yangu japo wamesimama kutoa leseni za microfinance kwa muda.
Asanteni.
Sasa nilienda wizarani kuwasilisha maombi yangu ya kufungua microfinance na walinitajia vitu vya kuambatanisha katika maombi hayo, ninavyo vitu vyote isipokuwa lending policy.
Hivyo wadau naombeni mnisaidie sample ya lending policy ili mapema wiki hii nikasubmit application yangu japo wamesimama kutoa leseni za microfinance kwa muda.
Asanteni.