Microwave (Nikai Brand) inauzwa

Microwave (Nikai Brand) inauzwa

Serikali ilitangaza hadi vijiji vimefikiwa na umeme bana, nunua tu in advance umeme watawaletea soon mkuu😀
Ujue hata mazingira mengine walipitwa na 27 na kibano kikageuka na kuwa320,hivyo piga kutoka hesabu ya 27 hadi hiyo inahitaji miaka mingapi,labda tu uwe na uwezo wa kurefusha kamba😁
 

Attachments

  • Screenshot_20231204-220158_Gallery.jpg
    Screenshot_20231204-220158_Gallery.jpg
    127.9 KB · Views: 11
Mimi sina huo uhitaji kwa sasa nkamu...

Ila nimekutangazia kwa watu wengine, kama wakihitaji nitarudi hapa...
Ooh you're such a sweet soul, thank you mkuu, nikipata mteja ntakununulia na ka soda(1,000)😀
 
Back
Top Bottom