financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
- #21
HahahaNipo zangu ruvuma huku kuna mvua balaa sahv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaNipo zangu ruvuma huku kuna mvua balaa sahv
Ujue hata mazingira mengine walipitwa na 27 na kibano kikageuka na kuwa320,hivyo piga kutoka hesabu ya 27 hadi hiyo inahitaji miaka mingapi,labda tu uwe na uwezo wa kurefusha kamba😁Serikali ilitangaza hadi vijiji vimefikiwa na umeme bana, nunua tu in advance umeme watawaletea soon mkuu😀
Ila kama hamna mafuriko kheriNipo zangu ruvuma huku kuna mvua balaa sahv
Vyote chukua 75000/ nipo Dom itabid nisafirisheBasi wakuu jipangieni bei mlizonazo tuone
Ongezea kidogo mkuu, hautojutia microwave ni kama mpya kabisaaVyote chukua 75000/ nipo Dom itabid nisafirishe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bas naongeza hyo kidogo mkuu chukua 78k boss wanguOngezea kidogo mkuu, hautojutia microwave ni kama mpya kabisaa
Hivyo hapo mkuu unaweza ukavirekebisha kidogo tu hizo cover zake basi ready for use🤔
Hivyo hapo mkuu unaweza ukavirekebisha kidogo tu hizo cover zake basi ready for use🤔
Dah unaua sana mkuu jitahidi nyongeza viti 2Bas naongeza hyo kidogo mkuu chukua 78k boss wangu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Karibu sana mkuuNahitaji hivi viti. Vitanisaidia sehemu
Ndiyo mkuu, karibu kama unavihitajiOfisi imefunga shughuli zake nini?
Ndiyo mkuu, karibu kama unavihitaji
Ooh you're such a sweet soul, thank you mkuu, nikipata mteja ntakununulia na ka soda(1,000)😀Mimi sina huo uhitaji kwa sasa nkamu...
Ila nimekutangazia kwa watu wengine, kama wakihitaji nitarudi hapa...
Nahitaji Nina 100k nipo DodomaNdiyo mkuu, karibu kama unavihitaji
Karibu pm mkuu tukamilishe hili swalaNahitaji Nina 100k nipo Dodoma
Huna wa kumpa kama zawadi?Wakuu ina maana wote humu mna Microwave? Niungisheni bana👏
Sawa nimpe mtu kama zawadi, afu nije kuomba pesa kwako ya hicho kitu nnachokihitaji kununua labda je utanipa hiyo pesa Bila manyanyaso wala malipo? Mtu chake bana.Huna wa kumpa kama zawadi?