Mida gani ya Mishikaki ya Salma Cone?

Bwiru press kwangu mkuu
Bwiru Press njia ya kwenda A.I.C??
Kwa komba unapapata??
Kiwanja changu sana hicho.

Mitaa yangu ninayopatikana ni nyuma ya maliasili hapa, kabla hujafika kanisa la Winners.
 
Hapa Salama Cone.. ice cream na cone bado zipo au ni mishikaki tu
 
[emoji41]naona ma ngosha wana jadiri ka sehem kamoja tu walko wai kupita

kukariri uku
 
Lipia tangazo
 
Asante mama na like nimekupa. Anadhani Mwanza tunakula maajabu kama wanayolishwa wao huko walipo.
Paka wangu unataka kuniambia pale kwa salma kuna mishkaki mitamu popote duniani hakuna?nagata ukakasi maana hiyo sehemu naijua sana,naishiaga kuboreka sipatagi taste nayoitafuta,ukiniambia jembe ni jembe ile kitu yao jembe fish ina test fulani huwezi kuipata popote ila si mishkaki ya kwa salma bana,
 
Nyie jidaidini na salmacone wenu nasisi wa dar twajidai na mishikaki ya coco na mihogo
 
Kipenzi naomba nikuchomee mishkaki siku moja. Nakuhakikishia kuwa hutajutia kuitikia wito huu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…