Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Na ukifika maeneo yaliyo salama lazima uzimieHapo ni nduki tu, hakuna namna mkuu
Hiko kikao sio cha mchezo mchezoAisee
Mbona kawaida mkuu!Ni mida ya hatari sana! Saa 8 za usiku unapita
Maeneo furani unakutana na genge la paka kama hao kwenye picha... Alafu kuko kimya njiani uko wewe peke yako na hao nyau, alafu kufumba na kufumbua wameyayuka unaangaza huku na kule.
Uwaoni wamepotea kimiujiza wakati huo huo unaona nywele hadi mwili nzima unasisimka.. Kama ni wewe utachukua uamuzi upi, au utafanyaje???View attachment 772132
Kuna jamaa siku moja kipunguni ukonga jamaa ni mgogo wa kuuza nyama pale mazizini ukonga machinjioni.Mbona kawaida mkuu!
Hawa dawa yao bastolaNi mida ya hatari sana! Saa 8 za usiku unapita
Maeneo furani unakutana na genge la paka kama hao kwenye picha... Alafu kuko kimya njiani uko wewe peke yako na hao nyau, alafu kufumba na kufumbua wameyayuka unaangaza huku na kule.
Uwaoni wamepotea kimiujiza wakati huo huo unaona nywele hadi mwili nzima unasisimka.. Kama ni wewe utachukua uamuzi upi, au utafanyaje???View attachment 772132
Haaaa haaaa! Hao lazima watakua yanga[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna jamaa siku moja kipunguni ukonga jamaa ni mgogo wa kuuza nyama pale mazizini ukonga machinjioni.
Ilikuwa kawaida yake kutoka saa 8 usiku kwenda machinjioni, huwa Bodaboda inamfata kumchukua nyumbani kwake sasa siku hiyo Bodaboda ikawa aijakuja kuchukua na muda ukawa unaenda. Alichofanya yule bwana saa 9 kasoro za usiku atoke kwake na mguu alafu kutoka kwake lazima aifate reli
Akaenda mbele kuna uwanja wa mpila akakuta watu saa tisa za usiku uwanjani wanacheza mpila. Kustuka wale watu awaoni wamepotea kimiujiza jamaa alitoka nduki mita 300 alipofika barabarani kwenye stendi ya BodaBoda jamaa akazimia wakampepea wenye BodaBoda pale kuja kupata fahamu kesho yake
Alipata homa kali sana!!!
Subiri waje na mapovu wenyewe, mie nawaogopa kuwatania siku hizi wanaHaaaa haaaa! Hao lazima watakua yanga[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sanaaa mkuu noma [emoji3] [emoji3]duu noma sana
Mmhhh!Hawa mbona wazuri sana mpaka wanavutia?
Halafu saa 7 mchana ni muda mbaya kuliko saa 8 usiku.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mie mwenyewe waje nipo macho sijalalaSafi tu na waje, watanikuta macho.