Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Ni mida ya hatari sana! Saa 8 za usiku unapita
Maeneo furani unakutana na genge la paka kama hao kwenye picha... Alafu kuko kimya njiani uko wewe peke yako na hao nyau, alafu kufumba na kufumbua wameyayuka unaangaza huku na kule.
Uwaoni wamepotea kimiujiza wakati huo huo unaona nywele hadi mwili nzima unasisimka.. Kama ni wewe utachukua uamuzi upi, au utafanyaje???
Maeneo furani unakutana na genge la paka kama hao kwenye picha... Alafu kuko kimya njiani uko wewe peke yako na hao nyau, alafu kufumba na kufumbua wameyayuka unaangaza huku na kule.
Uwaoni wamepotea kimiujiza wakati huo huo unaona nywele hadi mwili nzima unasisimka.. Kama ni wewe utachukua uamuzi upi, au utafanyaje???