Imeisha hio uzi ufungweHua wanaletwa na ma MC ili wapate clips za kutupia mitandaoni kwny pages zao.
Mbona kwenye video clip umeweka hakuna maajabu yoyote...
Aisee kumbe!Hua wanaletwa na ma MC ili wapate clips za kutupia mitandaoni kwny pages zao.
Unaweza ukamwaga ubongoMpaka chini ..Mpaka chini
HahahahahaUnaweza ukamwaga ubongo
Huwa wanakuwa kikazi zaidiView attachment 2900704
Jana nilibahatika kuhudhuria harusi ya kijana wa jirani yangu. Ile harusi ilihudhuriwa zaidi na watu wa mtaani maana ndio kampani.
Kitu cha kushangaza ni kukutana na midada yenye maumbo mazuri yakiwa yamejiachia na vimini. Wale madada walikuwa na vibe hatari kila nyimbo wanacheza. Nikajaribu kufuatulia kama ni watu wa pale kitaa ikaonekana sura ngeni. Kila mtu nayemuuliza anasema hawajui kwamba pale mtaani hakuna micharuko wa hivi.
Nikaona niongee na mwana kamati kama wamekodiwa au vipi. Akasema yeye pia hajui.
Nikabaki na maswali, hii midada yenye amsha amsha harusini huwa inatokea wapi?
Watakuwa wanadoea pombe za bure. Harusi zisizo na vileo huwezi kuwaona kabisa. Kukiwa na vileo tu lazima wajazane ukumbini na vinguo vyao vya ajabu.Hawa mpaka harusi za ukumbini usiku wa manane huwa wapo, uvaaji wao ni hatari wanaweza kubakwa. Taiti na chupi zinaonekana sijui huwa wanamtega nani kama si kuleta vurugu na fujo kwenye harusi ya mwanamke mwenzao aliyeamua kuingia kwenye ndoa.
HahahahahaUngeomba namba mkuu
Hahahahaha...dahHuwa wanakuwa kikazi zaidi
Angeomba namba angekupa na wewe. Mtoa mada kafeli pakubwa😂😂
Huwa wanakuwa kikazi zaidi
Aisee umetoa wazo zuri sana. Na hii Valentine ningeenda kutoa kutuAngeomba namba angekupa na wewe. Mtoa mada kafeli pakubwa😂😂
Unaijua nusu uchi mkuu?!