Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haifilisi dukaaaa
Umemruhusu kusaficha macho?Haifilisi dukaaaa
Hiyo Mong'onyo umetohoa kutoka wapi?Huo utundu huwa wanafanya kwenye muziki tu kama hivyo...
Mong'onyo kama hilo ukilipeleka kitandani linabaki kulia tu irabu za kiswahili, aaaa eeee iiii oooo uuuuuu...
InapendezaHahahahahaha...weekend tunapiga soga kdg na kupeana uzoefu
Hiyo Mong'onyo umetohoa kutoka wapi?
Wokovu who which when 🤠!Nimeokoka na nampenda Yesu...
Yeah siku iende salamaInapendeza
hapo hakuna aliyevaa uchiView attachment 2900704
Jana nilibahatika kuhudhuria harusi ya kijana wa jirani yangu. Ile harusi ilihudhuriwa zaidi na watu wa mtaani maana ndio kampani.
Kitu cha kushangaza ni kukutana na midada yenye maumbo mazuri yakiwa yamejiachia na vimini. Wale madada walikuwa na vibe hatari kila nyimbo wanacheza. Nikajaribu kufuatulia kama ni watu wa pale kitaa ikaonekana sura ngeni. Kila mtu nayemuuliza anasema hawajui kwamba pale mtaani hakuna micharuko wa hivi.
Nikaona niongee na mwana kamati kama wamekodiwa au vipi. Akasema yeye pia hajui.
Nikabaki na maswali, hii midada yenye amsha amsha harusini huwa inatokea wapi?
Kwa hiyo kadi za michango MC anawalipia?Hua wanaletwa na ma MC ili wapate clips za kutupia mitandaoni kwny pages zao.
Huyo wa mwisho kulia ana miguu kama John BokoView attachment 2900744[emoji7][emoji115]