Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews). Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews?

Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews). Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews?

SIPENDI SIASA

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
791
Reaction score
1,199
Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews).

Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..

~ SIPENDI SIASA ~
 
Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews). Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..

~ SIPENDI SIASA ~
Wayahudi wanasema wao hawawezi kumshawishi mtu mwingine kufuata dini na mafundisho yao mpaka yeye mwenyewe aelewe mafundisho hayo na aamue kwa hiari yake kuifuata,
 
Kueneza dini inabidi kwanza uwe na Taifa... wayahudi walikuwa hawana Taifa ...wanaishi kwenye nchi za watu wanafukuzwa.....hadi mwaka 1948 waliposaidiwa kuundiwa Taifa lao na British Empire na American power...

La pili dini zilitumika kueneza ukoloni..
Huwezi eneza ukoloni iwapo wewe mwenyewe mnyonge hadi Hitler anawakusanya na kuwachinja....

Wayahudi wamekuwa na nguvu baada ya second world war kuisha...

Kabla ya hapo walikuwa wanafukuzwa kila nchi Kwa utapeli na kushikilia uchumi wa nchi husika...soma history... wayahudi wamefukuzwa Ulaya yote
 
Sababu hawakuja kuweka makoloni huku wala kuchukua watumwa. Wewe unadhani kwanini walileta dini? Kazi ya dini walizoleta wazungu na waarabu ni kukufanya uwaone bora kuliko wewe, that's it. Ni psychological domination.
 
Wayahudi wanasema wao hawawezi kumshawishi mtu mwingine kufuata dini na mafundisho yao mpaka yeye mwenyewe aelewe mafundisho hayo na aamue kwa hiari yake kuifuata,
Upuuzi, kama wangepata nafasi wangekutupa nje ya dirisha. Usimwamini mtu mweupe.
 
Over 72 percent of Israeli men have cuckoldry fantasy


A shocking public poll conducted in the month of October 2024 has concluded that over 72 percent of married Israeli men have cuckoldry fantasies as it pertains to other men being with their wives.
 
Kwa sababu true Jews waliamua kuachana na imani yao ya awali ambayo ilijengwa katika msingi wa kumuabudu YHWH kama Mungu (ambayo sio hii ya hawa fake Jews ya kupigiza kichwa ukutani) na kuigeukia miungu mingine ya wamisri (awali imani ya wamisri ilikuwa katika kumuabudu shetani kama mungu wao na malaika zake kama miungu mingine kupitia uchawi especially ule uchawi mweusi wa sadaka na kafara za binadamu).

Kwa sasa Jews walio wengi wanapractice uchawi mweusi kama ule wa Misri ya kale na wameamua hiyo ndio iwe imani yao na Mungu wao YHWH alishawaacha kama alivyowaambia katika maandiko yao matatakatifu ya awali katika kitabu cha Torati ya 28 kuanzia aya ya 15. Utaangalia mwenyewe uchawi mweusi uko wapi kwa kiasi kikubwa na laana iliyotamkwa kwa Jews na wa Israel wengine wakimuasi YHWH Mungu wao kisha utawajua wayahudi halisi ni kina nani na wako wapi.
 
Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews).

Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..

~ SIPENDI SIASA ~
Operation Solomon, zoezi hili lilikuwa la kuwarudisha wayahudi Israel kutoka Ethiopia, kwa kifupi wapo Ethiopia na Ethiopia imo Africa.
Tujitahidi kutumia simu zetu za bei kali kapata taarifa za mambo tusiyoyajua badala ya kuchati na kujipiga picha.
 
Kueneza dini inabidi kwanza uwe na Taifa... wayahudi walikuwa hawana Taifa ...wanaishi kwenye nchi za watu wanafukuzwa.....hadi mwaka 1948 waliposaidiwa kuundiwa Taifa lao na British Empire na American power...

La pili dini zilitumika kueneza ukoloni..
Huwezi eneza ukoloni iwapo wewe mwenyewe mnyonge hadi Hitler anawakusanya na kuwachinja....

Wayahudi wamekuwa na nguvu baada ya second world war kuisha...

Kabla ya hapo walikuwa wanafukuzwa kila nchi Kwa utapeli na kushikilia uchumi wa nchi husika...soma history... wayahudi wamefukuzwa Ulaya yote
You nailed it.
 
Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews).

Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..

~ SIPENDI SIASA ~
Siti ya mbele! Hili swali hata mimi nilikuwa najiuliza
 
Sababu kuu ni sababu ya kiroho.

Ni dini haipaswi kuenezwa ulimwenguni Kwa sababu ni Kwa ajili ya kuwaacha vilevile wasimtambue YESU kuwa ndiye Masihi, wabaki wakimsubiri Hadi mara ya 2 anaporudi.

Na hata kutawanyika Kwao na kurejea Kwao 1948 Yako katika BIBLIA TAKATIFU, hayo matukio.

Na kurejea Kwao kunaashiria mwisho wa Dunia uko karibu.

Moja ya sababu ya Wayahudi kumsulubisha YESU KRISTO ni waliona kama ana kufuru kujifananishacna MUNGU, na kisa hicho kinafanana na kisa Cha Yusufu kukataliwa na ndugu zake.
 
Judaism ni dini ya kikabila na Mungu wao ni Mungu wa kabila lao!

Huwa wanafurahi na kutushangaa mtu anapashadidia 'God of Israel'!..

Wako vizuri kwenye manipulation though muda wote wame-survive kwa kulaghai wengine kupigana vita zao wao wakinufaka kiuchumi!

Sasa hivi Wana kubwa Jinga US himself humwambiii kitu!

Kwenye kampeni wanashindana nani atakuwa rafiki zaidi wa Jews!
Hali ya kuwa Jews wanamuona Jesus kama imposter tu!
 
Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews).

Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..

~ SIPENDI SIASA ~

Wayahudi wanaona kuwa wana agano maalum na Mungu (`yaani ni`watu waliochaguliwa''). Kulingana na maandiko yao, hawakuamrishwa kamwe kueneza dini yao kwa watu wa mataifa mengine.

Yaani dini ya Uyahudi ni kwa ajili ya mayahudi tu. Mojawapo ya jumuiya za Kiyahudi za Kiafrika zinazojulikana sana ni Ethiopia, wao wanaamini kuwa ni wazao wa Mfalme Sulemani na Malkia wa Sheba, na uyahudi wao upo tofauti kidogo na Uyahudi wa israel.

Unaposikia kuna mayahudi Urusi, Poland, Marekani, south Africa nk, jua ni muendelezo wa kizazi chao kile kile ambacho kilitapakaa sehemu mbali mbali duniani na mpaka leo wao wenyewe kwa maandiko yao wanaamini kuwa muda wao wa kurudi nchi ya ahadi haujafika.

Hao mayahudi wa leo unaowaona Israel sio mayahudi wa kweli isipokuwa ilikuwa ni project tu ya Ukoloni aliyeitengeneza Muingereza kupitia Balfour declaration. Ndio maana ni MARUFUKU KUFANYA DNA ndani ya Israel. Kwa sababu wanajua matokeo yake yataonyesha ukweli wa asili yao.
 
Back
Top Bottom