SIPENDI SIASA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 791
- 1,199
Wayahudi wanasema wao hawawezi kumshawishi mtu mwingine kufuata dini na mafundisho yao mpaka yeye mwenyewe aelewe mafundisho hayo na aamue kwa hiari yake kuifuata,Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews). Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..
~ SIPENDI SIASA ~
Seriously??..Walikosa wakala wa kusambaza lugha ya ya KIIBRENIA (HEBREW).
Upuuzi, kama wangepata nafasi wangekutupa nje ya dirisha. Usimwamini mtu mweupe.Wayahudi wanasema wao hawawezi kumshawishi mtu mwingine kufuata dini na mafundisho yao mpaka yeye mwenyewe aelewe mafundisho hayo na aamue kwa hiari yake kuifuata,
Unaowadhania Jews leo hii siyo Jews.Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews). Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..
~ SIPENDI SIASA ~
Operation Solomon, zoezi hili lilikuwa la kuwarudisha wayahudi Israel kutoka Ethiopia, kwa kifupi wapo Ethiopia na Ethiopia imo Africa.Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews).
Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..
~ SIPENDI SIASA ~
Lakini Marekani kuna Jews.Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews).
Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..
~ SIPENDI SIASA ~
You nailed it.Kueneza dini inabidi kwanza uwe na Taifa... wayahudi walikuwa hawana Taifa ...wanaishi kwenye nchi za watu wanafukuzwa.....hadi mwaka 1948 waliposaidiwa kuundiwa Taifa lao na British Empire na American power...
La pili dini zilitumika kueneza ukoloni..
Huwezi eneza ukoloni iwapo wewe mwenyewe mnyonge hadi Hitler anawakusanya na kuwachinja....
Wayahudi wamekuwa na nguvu baada ya second world war kuisha...
Kabla ya hapo walikuwa wanafukuzwa kila nchi Kwa utapeli na kushikilia uchumi wa nchi husika...soma history... wayahudi wamefukuzwa Ulaya yote
Siti ya mbele! Hili swali hata mimi nilikuwa najiulizaMiddle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews).
Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..
~ SIPENDI SIASA ~
Middle East kuna dini kuu tatu (Christianity, Islam na Jews).
Kwanini Uislam na Ukristo uliletwa Africa na sio Uyahudi?? What went wrong with Jews??..
~ SIPENDI SIASA ~