Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka Watoroke JFHivi KE kuna stand ya basi kweli japo hata 1 nchi nzima?
Hahahaha ndio nataka nione stand yao japo ya NairobiUkitaka Watoroke JF
Waambie Wapost Stand za Miji yao
Hahaha
Uchafu kunuka
Hovyo hovyo
Kama unajua madampo Ndio mabasi yao yanapakia nakupakua abiria
Kwanza Aina ya Mabasi yao tu utacheka
Wako na "Shukisha hapo kwa mlima"Hahahaha ndio nataka nione stand yao japo ya Nairobi
Nadhani hawana kwa jinsi wanavyopenda sifa saa hizi washaletaWako na "Shukisha hapo kwa mlima"
Wanakuambia sio muhimu kwao kumbe ni ule msemo wa sizitaki mbichi hizi.Nadhani hawana kwa jinsi wanavyopenda sifa saa hizi washaleta
Tanzania sio fukara. Tanzania sio masikini elewa hivyo.Wanakuambia sio muhimu kwao kumbe ni ule msemo wa sizitaki mbichi hizi.