Midege ya kivita ya Marekani inatisha!

Midege ya kivita ya Marekani inatisha!

Kwa hapa hawatuwezi
 

Attachments

  • 1401777281817.jpg
    1401777281817.jpg
    33.4 KB · Views: 858
mshana jr;wachina ni washenzi hawajitangazi lakini siku wakiamua kujianika dunia itabaki na taharuki

wtz mbona tulionyesha makomando siku ya muungano name uhuru kenyata alikuwepo
 
Marekani mpaka leo wanatumia vyombo vya urusu kwaajili ya safari za anga za juu. Hata International space station ni design ya urusi na hata kusafirishia bidhaa kwenda huko wanatumia space center ya cosmodrom ya kazakstan ambayo ni ya urusi. Kinachoipunguza nguzu urusi ni mbinyo wa uchumi tu ambao marekani inausimamia lakini si kwa technologia. kingine urusi walianza kutumia internet miaka 17 kabla ya marekani. Sema marekani wanapenda kujionesha
 
The center of power both military and economy is moving east ! This is as per the natural rules of successions. Many nations and races have risen and fell passing the position of power to others and USA is no exception. In the next 50 years they will be in second or third place .
 
Hiyo night hawk stealth fighter ni the beauty of engineering aisee.. hata m-shape wake hiyo airflow hapo si mchezo...

Miaka miwili mitatu baadaye inabidi nirudi darasani, sasa hivi nikasomee kuziendesha hizi mishe... Theres nothing like flying, tatizo bongo hazipo sasa tutaendesha wapi?
Sio tu hazipo Bongo,hata huko US zipo out of service....zimekuwa retired!
 
kuna jamaa yangu wa karibu sana ni mwanajesh amenitonya kua bongo zipo drones si chini ya 4 mitambo ya kuendeshea ishafungwa tayar wataalamu washapelekwa kusomea hzo mambo huenda mwishon mwa mwaka huu wakarud,anadokeza kuna heavy weapon za kisasa zimenunuliwa zaid toka china na rusia.,pesa inayotumika hapo hai husian na bajet ya ndan bali ni pesa zinazopatikana toka UN kwa kufanya mision za kijesh kwenye mataifa yenye vurugu,pia vingne ni nkopo.

Acha kumwaga siri za nchi ili upate likes. Pumbavu
 
Tuwekee na za Russia na China ili tufananishe.
 
Weka na silaha za kutisha za msumbiji
 
Kwa bongo inatakiwa kizazi cha sasa chote kife, kije kizazi kipya kabisa kutuvusha mahali tulipo. Tatizo ni kuwa akili za watanzania wa sasa zimechoka na uwezo wake wa kufikiri ni mdogo. Cm za mkononi ama calculator ni vitu vyenye teknolojia ya hali ya juu na vina kila kitu, lakini watanzia tulio wengi tumeshindwa kufikia hata asilimia tatu ya matumizi yake. Hata bajeti ispotegemea wahisani uwezo wetu ni mdogo sana.
 
Back
Top Bottom