Tetesi: Mido Inkamu Kenya: Mgomo mkubwa wa wahudumu wa afya kufanyika

Tetesi: Mido Inkamu Kenya: Mgomo mkubwa wa wahudumu wa afya kufanyika

Hahahaha hoja yako nzuri kweli ila umesahau tu kwamba gharama za maisha Kenya ni ghali mara 5 kwa Tanzania, 1000 huko Kenya is almost buying nothing ila Tanzania ni pesa nyingi sana.

Aksante kwa kumpa ukweli. Aangalie bei ya unga kwa Tanzania na kunyaland.
 
Aksante kwa kumpa ukweli. Aangalie bei ya unga kwa Tanzania na kunyaland.
Nauli tu ni mara karibu 7 ya Tanzania, umeme ni mara 2, maji mara 3, gharama za vyakula karibu mara 4 yaani maisha kwao ni ghali kuliko kawaida, hata kuagiza gari kodi ni kubwa sana halafu wanafikiri tunafanana
 
Back
Top Bottom