Midume mnao ni PM

Midume mnao ni PM

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Mko wapi rafiki zangu? Mbona kimya sana?
l miss u, hebu tukumbukane, msinitupe mpenzi wenu wa moyo
 
Hello mzee wa ulabu....
 
Tatizo lako unapenda sana polisi stori...
Watu tunataka tunda na wala sio bed time stories
Mko wapi rafiki zangu? Mbona kimya sana?
l miss u, hebu tukumbukane, msinitupe mpenzi wenu wa moyo
 
Mko wapi rafiki zangu? Mbona kimya sana?
l miss u, hebu tukumbukane, msinitupe mpenzi wenu wa moyo
Mmmmhhh Nazjaz, hii msg yako ina mvuto... kukumbukana ni muhimu sana... kwema lakini huko kwenu? Karibu kahawa!!! :coffee:
 
Kwetu kwema atakaye na aje.... Hizo kahawa zako ulizo anza kunywa saa hizi si utanitesa mwenzio jioni baada ya saa za kazi?
Mmmmhhh Nazjaz, hii msg yako ina mvuto... kukumbukana ni muhimu sana... kwema lakini huko kwenu? Karibu kahawa!!! :coffee:
 
:coffee:

Daah . . . . kweli watu wamegoma, mpaka unaianzoshia sredi????!!!!! Ila mi . . . .
 
Firstlady anakukaba sana mwambie asifanye hivyo hata Yesu hapendi
dah! balaa kamanda! yaani hapa ukiona nimepotea mwezi pia usishangae. lakini nataka nipige changa la macho nielekee dodoma sjui nitunge script gani?
 
Vipi wagosi wanatunyima nini huko Tg?
 
Back
Top Bottom