Midume mnao ni PM

Midume mnao ni PM

WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.

Yes sir, tangu huu mwaka umeanza hujani PM ndugu yangu, kwa nini lakini, kiogomvi hiki kitatufanya tupendane zaidi.
 
dah! balaa kamanda! yaani hapa ukiona nimepotea mwezi pia usishangae. lakini nataka nipige changa la macho nielekee dodoma sjui nitunge script gani?
Mwambie umekuwa mgeni mwalikwa kwenye Bunge linaloanza Februari
 
Yes sir, tangu huu mwaka umeanza hujani PM ndugu yangu, kwa nini lakini, kiogomvi hiki kitatufanya tupendane zaidi.
Hivi hii inaruhusiwa :boxing::boxing::boxing::boxing::fencing::fencing:baada ya kupata :mvutaji::mvutaji::mvutaji::bange::bange::bange:
 
Mko wapi rafiki zangu? Mbona kimya sana?
l miss u, hebu tukumbukane, msinitupe mpenzi wenu wa moyo
Tatizo lako unapenda midume ya Bara cc midume ya Pwani hututaki.
 
hebu anza ww kutu pm maanake LADIES FIRST:laugh:
 
Mko wapi rafiki zangu? Mbona kimya sana?
l miss u, hebu tukumbukane, msinitupe mpenzi wenu wa moyo
itakuwa midume ya majuu maana wana ukame walee......
..bibie nipe namba yako ya simu nikutwangie now
 
itakuwa midume ya majuu maana wana ukame walee......
..bibie nipe namba yako ya simu nikutwangie now

Majuu ya wapi kwa Mula Omar au,maana kwingine hulali na njaa :coffee:
 
Back
Top Bottom