LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.
Yes sir, tangu huu mwaka umeanza hujani PM ndugu yangu, kwa nini lakini, kiogomvi hiki kitatufanya tupendane zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.
Mwambie umekuwa mgeni mwalikwa kwenye Bunge linaloanza Februaridah! balaa kamanda! yaani hapa ukiona nimepotea mwezi pia usishangae. lakini nataka nipige changa la macho nielekee dodoma sjui nitunge script gani?
Hivi hii inaruhusiwa :boxing::boxing::boxing::boxing::fencing::fencing:baada ya kupata :mvutaji::mvutaji::mvutaji::bange::bange::bange:Yes sir, tangu huu mwaka umeanza hujani PM ndugu yangu, kwa nini lakini, kiogomvi hiki kitatufanya tupendane zaidi.
dah hii imetulia kweli! sredi klosedMwambie umekuwa mgeni mwalikwa kwenye Bunge linaloanza Februari
sred kama hizi zinaitwa "half cast"Yaani Title na kilichomo ndani tofauti
We unacho? naona umerudi, kwani lazima uchangie kila thread?naona mmekosa cha kufanya
Tatizo lako unapenda midume ya Bara cc midume ya Pwani hututaki.Mko wapi rafiki zangu? Mbona kimya sana?
l miss u, hebu tukumbukane, msinitupe mpenzi wenu wa moyo
midume ya bara imekatazwa na wazazi wao,
sred kama hizi zinaitwa "half cast"
dah! balaa kamanda! yaani hapa ukiona nimepotea mwezi pia usishangae. lakini nataka nipige changa la macho nielekee dodoma sjui nitunge script gani?
Yaani Title na kilichomo ndani tofauti
hebu anza ww kutu pm maanake LADIES FIRST:laugh:
itakuwa midume ya majuu maana wana ukame walee......Mko wapi rafiki zangu? Mbona kimya sana?
l miss u, hebu tukumbukane, msinitupe mpenzi wenu wa moyo
itakuwa midume ya majuu maana wana ukame walee......
..bibie nipe namba yako ya simu nikutwangie now
:coffee::coffee::coffee::coffee:
Yaani Title na kilichomo ndani tofauti