JembePoli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,324
- 996
Safi sasa mkuu njoo Pm jicho jicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza anza kwa kujua sheria za JF ili uepuke ban zisizo na msingi.Jamani Mie mgeni humu
Unajua kuingia PM, kuna muongozo nimekuwachiaJamani Mie mgeni humu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]....acha ukuda mkuu,mimi sijawahi kuwa na bahati JF kwa hiyo hili ndo kimbilio langu la pekee!!
Naona mkuu unachangamkia fursaMhhhh!!.....you look so cute and sexy,uko beutiful sana![emoji39] .....nikuulize kitu mkuu?
Hebu tupia namba yako ya simu fasta.
Duuh!!! Kweli huyu mgeni!!! Yani ww hapa umewarihisishia kazi polisi!!! Wakitaka kukutafuta wanakudaka kama kuku!!! NB;my real name is Uledi
Kheeee! Umeweka kweli?Tayari mkuu
Naona fisi mnavyovizia mzogaPia weka hapa namba zako za simu,,,ni muhimu saana
Mkuu..uctuharibie please,,,kama vp njoo PMNaona fisi mnavyovizia mzoga
Vipi kuna alie kukaribisha humu ndani au umekurupuka tu? Au kuna yeyote unaemjua humu?Jamani Mie mgeni humu
Pm yangu imejaa mkuuMkuu..uctuharibie please,,,kama vp njoo PM
Hahaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]naona anakuja jf kwa pupaBinti taratibu mama vichwa vya huku ni tofauti na vichwa vya Fb na whtup groups..