Mie mgeni sijui ratiba za humu wa kuu

Mie mgeni sijui ratiba za humu wa kuu

d64a2610ed5804b16bd098cd80829357.jpg

Sema mimi mzuri kidogo ..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] kbsaaaa
 
We kweli zuzu umeambiwa uweke picha umeweka kweli,mlioanza kutumia smatifoni enzi za tecno mnashida kweli,humu ni mwendo wa fekero kwenda mbele,watu wanatafutwa humu mpaka max kakaa selo sababu ya Anonymity humu shauri yako.

Cc teamfisi
 
Yaani mtu akija Pm(inbox) unaleta majina yao hapa, kuna zawadi wanapewaga, sawa mamy!!!
 
We kweli zuzu umeambiwa uweke picha umeweka kweli,mlioanza kutumia smatifoni enzi za tecno mnashida kweli,humu ni mwendo wa fekero kwenda mbele,watu wanatafutwa humu mpaka max kakaa selo sababu ya Anonymity humu shauri yako.

Cc teamfisi
Asante;lakini Mie zuzu sijui wewe utakuwa nani maana binadam bwana upenda kujifanya kila kitu amezaliwa anajua [emoji57][emoji57]

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
 
Sitaki

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Umeanza Kubumburuka eeh, [emoji1] [emoji1] [emoji1] hapa ndio Jamii forum, ipo siku utakuwa mjanja, ushamba wa Facebook na Whasap, insta utakutoka.

Kwa ushauri wangu badili akaunti, hii tena ishakuwa haikufai. La sivyo uitumie kwa insensitive issues kinyume na hapo tutakukuta Segerea.

[HASHTAG]#Sizonje[/HASHTAG] on Work#
 
Back
Top Bottom