Mie mgeni sijui ratiba za humu wa kuu

Mie mgeni sijui ratiba za humu wa kuu

ongeza ka-picha kengine ukiwa umebinuka tuone kama yaliyomo yamo?

Huku hatutaki sura onyesha chura ndo utaratibu kwa watoto wa kike.

Ukionyesha unapewa point
 
Asante;lakini Mie zuzu sijui wewe utakuwa nani maana binadam bwana upenda kujifanya kila kitu amezaliwa anajua [emoji57][emoji57]

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Kama utaona zuzu ni tusi sawa ila nimeandika kwa kukuonea huruma mdogo wangu,maana jamaa kakutega ukaingia mkenge,unless unamalengo ya ziada sawa.we huoni wenzio wote wameweka avatar na majina fekero?.
 
285578f852711c612f0c3d92d50cb1bb.jpg
Hahaaa baswahili wanasema kujilipua huyu atakuwa katumwa sio bure nyie shababi wa humu jipelekeni kama nyumbu
Binti taratibu mama vichwa vya huku ni tofauti na vichwa vya Fb na whtup groups..
 
Back
Top Bottom