Mie nahisi mungu hapendi wanawake......

Mie nahisi mungu hapendi wanawake......

washindwe na walegee ambao hawapendi kudumisha mila! Ee mungu waongeze hawa watu wawe wengi ili mila na desturi ziendelee kuenziwa.....

if our moms had not been tempted.......we would not be here!

:a s 39:
 
Kwa kuwa ni mwanamke nimekuwa nikienziwa na kutukuzwa na mwanamme tokea nazaliwa hadi leo hii.

Sijawahi kujutia kuwa mwanamke maishani mwangu..................na ningelipewa choice ya kuchagua nizaliwe upya, ningesema nirudishe mwanamke vile vile.
 
Namshukuru sana mungu kunifanya mwanamke nadhani ni upendo wa ajabu aliotufanyia ,Upendo huo unaongezeka zaidi pale aliposema tutazaa kwa uchungu ..ndio maana tuna mapenzi makubwa sana kwa watoto wetu hasa tukiufikiria huo uchungu wa ajabu
To god be the glory Amen.
Nashukuru kulielewa hilo. Sasa ishi kwa upendo wa uanamke. Punguza uchoyo. Ngoja nikuPM.

Kwa kuwa ni mwanamke nimekuwa nikienziwa na kutukuzwa na mwanamme tokea nazaliwa hadi leo hii.

Sijawahi kujutia kuwa mwanamke maishani mwangu..................na ningelipewa choice ya kuchagua nizaliwe upya, ningesema nirudishe mwanamke vile vile.
I wish ungekuwa unasema ukweli. Manake kungekuwa na option ya kuchagua jinsia naona dunia hii tungekuwa midume mitupu. Ahsante Eee Mungu kwa kulijua hilo mapema. Ongeza wanawake kwa wingi ili mila ziendelee kudumishwa!
 
Asprin unafikiri kwa nini wanawake wangetaka kuzaliwa madume?


mimi siwezi responsibilities za maisha .....................acha mwanamme ahangaike.
Kulisha familia yako na ya wazee wako sio kazi ndogo..................siiwezi mkuu. i can hardly feed my shoe addiction, ningelilazimika kulisha mke na watoto na mama na baba na dada( wakati mwengine) si ningewehuka!

no mkuu, bado hatujataka kuwa wanaume
 
Mungu anawapendelea wanawake......
Kwa sababu sisi wanaume hata uwe vipi huwezi
kuishi bila mwanamke....
But wanawake mnaweza ishi wenyewe.......
Sisi we depends on you...more than you depends on us.....
Mmh!!!, hapo kwenye reds nadhani siyo bahati mbaya wala typing error,.. mara zote mbili?
 
btw Fab wewe unaepata a bit of monthly pain unasema mungu hakupendi, yule aliyezaliwa na ulemavu wa aina yoyote, au aliyepata magonjwa kama cancer au ukimwi asemeje?

Na yule aliyezaa mtoto wake akafa bado mchanga..................na wale wanaopoteza mali zao zote kwenye natural disasters jee?

Gaijin,
mbona hospital wote tunakwenda,ukiumwa mguu jino ama sikio?...unataka kusema mtu asiende hospital km anaumwa jino kisa kuna mtu wa cancer ama ukimwi ambaye anaumwa zaidi yake????...
maumivu yangu ya MP,yapo pale pale..despite the fact kuna wanaoumwa zaidi yangu!..na sielewi kwa nini mungu katupa hii kitu kila mwezi!
 
Hakuna kitu kama hiyo kwamba Mungu hatupendi wanawake. We are blessed abundantly.whether maumivu wakati wa periods, when giving birth hizo ndo zinazokufanya mwanamke uwe unique from men. we have special features ambazo wanaume hata wafanyaje they can never have (ingawa na hizi plastic surgeries siku hizi kitu kinabadilishwa kinakuwa cha kike maziwa yanapachikwa basi karaha tu).

I love my montly periods i embrace all the pain i feel every month. i cant wait to get pregnant and give birth. i cant wait to be mother or called mummy. and i believe this world aint nothing without us. AM PROUD TO BE A WOMAN.

kwa hiyo Miss Thing Fab, stop whining and start feeling good that you are a woman. God created you for a special reason and not otherwise. Ukilalamika sana there will be repercussions from God Himself. Sijui umenipata????:A S tongue::A S tongue::A S tongue:

JS...
sijichukii kwa kuwa mie ni mwanamke...
i hate what i go through as a woman...
dont you think our quality of life was going to be better without all these MPS,childbirth etc..
Imagine unapeta bila kufikiria kubeba pads kwa mfuko,kama ni childbirth tunapokezana na wanaume na mwanamke unapata chance ya kupumzika! TUNGEPETA sana tuu...plus i dont know HOW should start to embrace all these TABU! ...mie ningependa kuvaa skirt ila sio ni-bleed kila mwezi,wala kuzaa hell to the NO!
 
FAB!

Hakuna watu mliopendelewa kama nyie! Hata orgasm mmewezeshwa kui fake lakini sie hatuwezi kufake................huoni kuwa nyie ndo mabingwa!
 
Duh.....Huyu Mungu unaemuamini Fab anachuki na wengi............wagonjwa wa cancer, watoto wao waliokufa uchangani, waliopoteza wazee wao bado vijana,.....and the list goes on and on.

btw Fab hivi kwani lazima uzae? .................ni right ambayo unaweza kutoitumia kama hupendi.
 
Wanawake wanaushawishi mkubwa kuliko wanaume-convincing capacity
Inaaminika wanawake wanaongoza dunia na sio wanaume- kwa upande wa wake wa maraisi. Wanaume wao huomba ushauri wa mambo ya kitaifa usiku wakati wa kulala. Kukitokea Vita anaokolewa mwanamke na mtoto mwanaume unaachwa ufe au upambane. Ikitokea ajali the same thing e.g ajali ya TITANIC waliokolewa kwanza wanawake na watoto. Kwenye biblia watoto wa kiume walikuwa wanauwawa HERODE-alitaka amuue Yesu katika huo mchakato NA FARAO wana waisraeli walikuwa wanaongezeka kwa kasi kubwa
 
Asprin unafikiri kwa nini wanawake wangetaka kuzaliwa madume?


mimi siwezi responsibilities za maisha .....................acha mwanamme ahangaike.
Kulisha familia yako na ya wazee wako sio kazi ndogo..................siiwezi mkuu. i can hardly feed my shoe addiction, ningelilazimika kulisha mke na watoto na mama na baba na dada( wakati mwengine) si ningewehuka!

no mkuu, bado hatujataka kuwa wanaume
Kwa sababu hizi hapa chini.......

wanawake wanabeba mimba na kuzaa kwa uchungu.....

wanawake wanakwenda hedhi kila mwezi sometimes inaambatana na maumivu makali....


ukitolewa bikira mwanamke inaambatana na maumivu makali wakati wanaume wanapeta tuu...lol


wanawake wamepewa siku chache za kuenjoy sex wakati wanaume wanaenda mpaka miaka 70......


mungu ameonyesha upendeleo kwa kiumbe mwanaume, kama dhambi ya asili tulishiriki wote kwa nini wanawake tu ndio tuadhibiwe kwa kuishi kitabu tabu tu?....
.:A S 39::A S 39:

sikujua niiweke wapi hii😎😎
 
BHT is proud of her being a woman mweh!!! naringia uanamke wangu!!!!
 
afu wee Fab si Eva ndo alimshawishi Adam kula tunda?? sasa ulitaka adhabu ifanane??
 
Subiri zamu yako ifike. Utajuuuuuuuta kuwa mwanamke!

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol!!!

eagerly waiting, maana mateso mengine nshayazoea kila mwezi lazima uwe na siku kadhaa za kisirani na ugomvi uso kichwa wala mkia lol!!! I love being a woman, i will say it over n over n over!!!
 
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol!!!

eagerly waiting, maana mateso mengine nshayazoea kila mwezi lazima uwe na siku kadhaa za kisirani na ugomvi uso kichwa wala mkia lol!!! I love being a woman, i will say it over n over n over!!!
Angalia location yangu. Am waiting with my pain killer!
 
Angalia location yangu. Am waiting with my pain killer!

dah biggy location afu tena na hiyo signature duh!!!!

btw ward ipi hiyo? M'nyamala siji!! bora nitafute mkunga wa jadi nimalizie home!!!
 
dah biggy location afu tena na hiyo signature duh!!!!

btw ward ipi hiyo? M'nyamala siji!! bora nitafute mkunga wa jadi nimalizie home!!!

Hukio huko mwananyamala ndipo utakapojutia kuzaliwa demu...........
 
Back
Top Bottom