Mie nalala chini, mke wangu kitandani

Mie nalala chini, mke wangu kitandani

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Nilikua na mpenzi nani asiyemjua mtoto kaumbika utadhani malaika

Baada ya miezi kadhaa kupita mtoto wa kwanza kazaa!
Mtoto katoka mwarabu akasema kafanana na babu
Nikaamua kuuchuna
Mtoto wa pili kazaliwa
Kafanana na mchina mzee akasema wee hujui tu kafata kwa bibi naibiwa mzee naibiwa

Mwenzenu naosha vyombo
Mwenzenu napiga deki
Mzee mzima napika
Jamani nafungua nguo sio kama napenda Ila ananilazimisha


Mie nalala chini mke wangu kitandani nikilala kitandani kila mtu shuka lake nikilala kitandani ujue ni mzungu wa nne
nikimuuliza nini sababu anasema tumepeana likizo

Hii Sasa kali Jana kaniambia anataka aende club na marafiki Ila kaniambia nilinde nyumba wezi wasije Iba Covax
Etugrul Bey hii ni haki kweli
njoo unisaidie naonewa

👉Ungekuwa wewe ungefanyaje ?2006
 

Attachments

  • Screenshot_20250126_235752.jpg
    Screenshot_20250126_235752.jpg
    81.3 KB · Views: 5
Kwanza ningefuatilia kama huko nyuma katika ukoo wangu kama tulishawahi kuchanganya vinasaba,maana kuna ishu kama hiyo nimewahi kuiona,jamaa mkewe kazaa mzungu

Lakini mke akasema hajawahi kucheat katika ndoa yake kabisa,na kuapa akaapa

Lkn baadae ikajulikana mume kwao kuna historia ya kuchanganya vinasaba

Kuhusu yeye kupeana likizo katika sex akamwambie boya mwingine lkn sio mie

Kuhusa kutoka na wenzake na mimi nilinde nyumba,akitoka huko ajue pa kwenda kufikia pengine
 
Back
Top Bottom