Mie sikani, mauno ulinikatia na mchezo waujua!

Mie sikani, mauno ulinikatia na mchezo waujua!

Kipimo cha utamu ndiyo tatizo, unajuaje kama unyoongeza ni mazuri au mabaya.
Waweza jidai unaongeza kumbe ndiyo unapunguza kama sio kuharibu kabisa!.
Ukajikuta unakimbiwa.

Kyaiyembe upo kwenye mstari......................asichojua Lizzy ni kuwa mgema ukimsifia tembo hulitia maji na kuliharibu kabisa..............
 
Last edited by a moderator:
hivi mnaongelea kiuno hiki hiki cha kuvalia suruali na sketi?

Mbona mnakipamba sana? Sijaona hiyo magic ya kiuno kiasi hiki.

Kongosho....pole sana hujakutana na magwiji wa haya mavituzi kama mie..................
 
Last edited by a moderator:
lemonade tupo pamoja..............funzo hapo ni kuwa mawasiliano tuache kujivunga na kupashana khabari mara kwa mara ili kila mmoja ajue kulikoni?
Funzo tumepata lakini come to think of it Rutashubanyuma pia the other party naye ana makosa.........ndio alikuwa anafaudu lakini while alivyokuwa anafaudu angempa angalizo mwenziye.........ingefaa pia kumkanya huyu mwanaume
 
Si huyo mtoa mada kafagilia mauno? Yasingekua mazuri asingesifia.

Lizzy bila ya mauno somo halieleweki kabisa.....................lazima ujipange kwenye hii tasnia ili uwe beneti na njemba wako vinginevyo kuna siku utapigwa kibuti ubaki umeshika tama................kisa kakutana na mjuaji wa mauno.........
 
Last edited by a moderator:
Kosa lako ni kuwa kwa nini ulitaka aseme yeye kuhusu "kesho yenu" na hukusema wewe mwanzo? Agalau kumwambia tu kuwa huu ni mchezo wa kupita. Inaonesha ulikaa kimya kusudi ili upate pa kutokea kwa kisingizio cha "Hakuna ahadi niliyokupa au hata wewe kunipatia pia."


Kutokana na kauli hii... Manung’uniko yako yamenifikia lakini mwenzio kakuwahi!


...inaonekana kama kwako wewe atakayekuja na dau kubwa la "kesho yenu" ndiye atakayeondoka na mali". Nina wasiwasi akija mwengine na ahadi nzuri kuliko huyu wa sasa, utaanzisha uzi Kweli tuliahidiana, lakini mwenzio katoa ahadi nzuri zaidi!


Yote tisa, la kumi ni title ya huu uzi Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!


That's all what she did "kukata mauno na kujua mchezo?" Hakuwa na sifa nyengine? Ila yake ni kutokudai mkataba mapema tu? When she was supposed to ask for it, the first day, during the first buno?

MAMMAMIA....mbona umenivunja mbavu mwenzio hivyo yaani haifai kabisa.................nafikiri hatukupangiwa tuwe wote.............na wakati mwingine ukikosa ujue umepata maana yawezekana safari ingelikuja kuwa na masharubu mengi ya kumkosesha raha......sasa nimejituliza kasuku hakuna cha dau zuri zaidi au la.....................kufuli mie nimelifunga na hata kufundwa sihitaji tena....................
 
Last edited by a moderator:
Funzo tumepata lakini come to think of it Rutashubanyuma pia the other party naye ana makosa.........ndio alikuwa anafaudu lakini while alivyokuwa anafaudu angempa angalizo mwenziye.........ingefaa pia kumkanya huyu mwanaume

lemonade mwathirika ndiye anapaswa kujifunza zaidi kwa sababu imekula kwake siyo kwangu.......................mie nilijionea ni sawa tu maana mlo nilipewa sasa kero iko wapi?
 
Last edited by a moderator:
You will never know with men kwa kweli! Humu Jf hua naona some men wanasema hawapendi wanawake wenye kuuliza mustakabali wa mahusiano toka mwanzo(time will tell)
am confused!
 
Hahahahahaaa, Mkuu Rutashubanyuma, mbilinge na mbinde ni synonims asee kama hujui...
++7AUKWCBf5ZIB1AAAAAElFTkSuQmCC

[MENTION]Mbimbinho[/MENTION]........sote twajifunza kiswahili ni patashika pia.................
 
hahahahaha LOL! Yaani mtu wa magharibi ya Tanzania asijue mauno!?....mauno ndiyo mauno bana LOL!

BAK..........m'mezee mwenzio...duh
 
Last edited by a moderator:
You will never know with men kwa kweli! Humu Jf hua naona some men wanasema hawapendi wanawake wenye kuuliza mustakabali wa mahusiano toka mwanzo(time will tell)
am confused!

Siku ya kwanza mtu anakuuliza unaenda kujitambulisha lini inahusu?"
 
Back
Top Bottom