medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,400
- 1,424
Kila mchungaji naona ana ubunifu wake kwenye kutoa burudani tofauti kwenye kanisa lake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara ubunifuBila hivyo hawapati watu
Ana mgao wakehuyo jamaa anaye angushwa nae ni matako tu
Hapana Paulo hana waganga wa kienyeji kama wa siku hizi😂😂😂 Vijana wa paulo.
Huoni hao wakina mwamposa ni waganga, Joshua, kakobe au kisa wanavaa suti.Hapana Paulo hana waganga wa kienyeji kama wa siku hizi
Hata kama kuna shughuli nying za kufnya lakini siyo kujizalilishaAna mgao wake
Huwezi vaa kaniki kanisaniHuoni hao wakina mwamposa ni waganga, Joshua, kakobe au kisa wanavaa suti ..Tafute hela nenda nijeria waganga wanavaa suti huko
Mbele ya pesa aibu ukaa kushotohata kama kuna shughuli nying za kufnya lakn cyo kujizalilisha