Usiubiri akuanze.
Muanze yeye.
Pole, dawa unayo wewe mwanamke usisubiri akuanze anza wewee,huyo ni halali yako unahaki yakuitaka hata mara5 kwa siku,fatuta siku pika chakula chako kizuri anachokipenda jipambe vizuri mpoke kwa bashasha mfanye ajisikie mwanamme
hapa siwezi kusema sana lakini kwa ufupi Huyo kuku wako mwenyewe asikuvunje miguu kumkimbiza,unajua nini anapenda na zaidi kaanae chini pia manake duu age yako ndio ile ya kuisikilizia khasaaaaaaaaa...lol
Hii yaweza kuwa kuna shida mahali chukueni likizo mbadili mazingira mwende mbali mkakae wenyewe japo kwa siku mbili tatu muongee vitu vya kawaida kabisa kama mnatumia kilevi kidogo itakuwa bora zaidi
embu jaribu kuchunguza majukumu ya mumeo kama ni makubwa kwa sasa swala la ngono linaweza kuwa shida..
jitathimini wewe je unaweka mazingira gani ya kumshawishi mumeo mfanye tendo tamu... usijekuta we ni mwanamke mropokwaji unafoka foka ndani ya nyumba kiukweli hata mimi ningekuwa na dushe bora niote ndoto nyevu.....
wakati wa tendo unalipokea vipi? unashukuru kwa namna ipi? si akikojoa unamsukumia huko hata kumfuta humfuti mapaka anyanyuke mweneyew kwenda kuosha hili linaweza kumtia uvivu kuwa nikichojoa natakiwa kwenda kushika maji baridi... andaa kitaulo uwe unamfuta itakuwa inaongeza ashki majununi...
pia usisubiri wewe uanzwetu, kwani dushe la mumeo linabadili position useme anaweza kuwa kaliamisha.. hapana kila siku lipo pale pale... uwe unaanza na wewe loh...!!!!
halafu usikute ukiombwa unajifanya upo bussy mama wewe usiringe ringe,,.....
swala pesa za matumizi ya home jaribu kumfokonyoa ujue mipango yake ya maendeleo usikute wewe unamatumizi mabaya ya pesa...... kama mmemaliza mipango ya life basi ni mbahili...
embu jiweke smart mwanamke vaa upendeze si kila akija anakukuta na likitenge lango kifuani maziwa hata braa ujavaaa kila siku........au unalidera lako hilo hilo kila siku....
basi naomba kipite salama maana hapa naongelea hali ya muda mrefu mkuu imedumu kama 2 years sasahivi
your welcome mchaga na mapenziHhahahahahha...This is the Miss chagga herself....goood
hatujagombana, hatujakosana, tunalala kitanda kimoja ni mke na mume wa 5 years sasa hivi, tunaweza kukaa 2 months hatujatenda tendo la ndoa, mwenzangu wakati mwingine anapataga wet dreams, najiuliza maswali mengi juu ya hili majibu sipati, vipi amenichoka? Hana hamu na mimi, hajisikii au ana nini?
Nataka kufahamu kutoka kwenu vipi hii ni kawaida au tatizo? Kumbukeni hatujagombana kabisaaa na hii ilianza mara kwa mwezi mnakutana mara 2 ikaja ikawa mara 1 na sasahivi inapita ata miezi 2 hamjakutana, nilishaongeanae kuwa hii hali sio, baadae inaweza kutusababishia matatizo anasema nayeye anajiona tu hivo.
Lingine linalonikwaza majukumu ya ndani kila ukimuomba pesa anasema iko bank wakati anajua kama tunahitaji kufanya manunuzi basi ata ya chakula au chochote kitakachohitajika, sasa najiuliza hivi huduma za ndani ngumu unyumba nao tatizo sugu niendelee kuvumilia au nitafute mwafaka?
Jambo la msingi kwangu ni kuwa namshukuru mungu dini imeniingia sana na sipendi kabisa kuwa na mchepuko siku zote niliamini mume wangu ni bora kuliko kijana yeyote, miaka yetu ya kawaida sana ni 40 kwa 35 ambapo bado wala hatutakiwi kuchoka kiaisi hiki, naanza kuamini kuwa matatizo mengi ya ndoa mara nyingi yanachangiwa na wanandoa.
Maana hapa leo hii mimi nikipandwa na shetani la kuzini hili tatizo atakuwa amenisababishia nani kama sio yeye asiyekuwa na hamasa na mimi?
ha ha haha naogopa mnatafutwa na al shababu sana nisije mpoteza mdogo wangumiss chagga baada ya kusoma post yako vizuri, kwakweli you wrote very touching post and i can feel it in my heart,sasa naomba nitangaze ndoa kwa mdogo wako
Maana hapa leo hii mimi nikipandwa na shetani la kuzini hili tatizo atakuwa amenisababishia nani kama sio yeye asiyekuwa na hamasa na mimi?
your welcome mchaga na mapenzi
haya mkuuAaaaaaahhhh...wewe tena...sisemi mimi
Kwanza una uvumilivu first class hongera kwa hilo