Miezi 2 kitanda kimoja; hakuna kiss, hakuna touch, hakuna hata kunong'onezana?

kuna wadau nimewaelewa pale waliposema, wewe bint anza kumshawish mumeo, hii mimi huwa inakuwaga sana kwa wifi yako, yaani hata kama sina hamu, lakini atanichezea wewe mpaka nakula mzigo, tena wala hasubiri nivue boxer, anavuaga mwenyewe, tena muda mwingine mtata kweli, nikivaa boxer wakati wa kulala, yeye wakat wa kulala, anavaa nigt dress fupi, na akiwa utupu, jambo lingine, hataki nilale pembeni, anataka nilale kwenye kifua chake,yaaani shida,full kila siku mgegedo tu, siku akiwa siku zake, mi kwangu ndio furaha
 

Miss chagga kwa hakika umenena yaliyoyakweli.Kama mwanamke hatofuata ushauri wako ajue anakaribisha mume kuwa na nyumba ndogo na ndoa kuwa ktk Unajaribu makubwa.
 
Possibly kuna mmoja wenu alipoteza ham ya mwenzake, akawa mvivu kushiriki tendo hata akiambiwa! So mwingine akawa anavumilia mpaka naaye kazoea (kama hana mchepuko)!
La muhim n kuambizana na kuelewa mnapoelekea sio, mtafute suluhu mapema na muanze kwa kuhakikisha mnashiriki tendo mara kwa mara, na kuwa pamoja muda mrefu zaidi! the best way ya kuanza hili ni kuongeza idadi za outing tena za kulala nje ya home ndo nzuri
 

Hhha asante kungwi barikiwa sanaaa
 
Jamani dear Uko wapi wewe binti, nimekukumbuka kweli. Thanks
 
mara unasema dini imekukaa mara shetani mara mwafaka; basi tafuta mwafaka-plan b sio?!
 
Mkebora; Hatujagombana, hatujakosana, tunalala kitanda kimoja


Mkebora, JITATHMINI PENGINE KAPATA MAHALA ANATELEZA CKU HIZI CO BURE! JIONGEZE! SHAURI YAKO!
 
Last edited by a moderator:
Wee kwani hujui kuwa mwili wa mwanaume ni senstive sana... Akimchezea tuu na kupet pet organs lazma response ije.
By the way ww hill and portion ni jinsia gani hebu nPM nikujuze zaidi maana naona huja explore the heights of lust ktk mahaba.
 
Last edited by a moderator:

Kwenye bluu hapo mbona naona kama unatafuta tu uhalali wa kuchepuka kwa kisingizio cha mme wako ndio anasababisha?
 
inawezekana pia anadalili ya sukari maana ha watu wakiwa na kisukari hata kama haijathibitishwa hopsital wanakuwa hawana hamu ya tendo
Pia inawezekana vitu anavyovipenpenedelea wewe huvipi kipaumbele kwene mapenzi unamfanya awe down
Ulimi ni kiungo kidogo lakini kina madhara makubwa kumbuka kauli zako ambazo huwa unazitoa na ambazo umewahi zitoa kwake kuhusu mambo ya unyumba na nyumba yenu kwa ujumla Yesu Kristo awasaidie na awavushe kwenye huo mtuhani
Omba sana na pia ongea nae ujue shida ipo wapi.
KUWA MTULIVU WAKATI WA KUONGEA NAE USIANZE KWA KULALAMIKA AU Kuonesha wewe unaonewa
 
Jamani dear Uko wapi wewe binti, nimekukumbuka kweli. Thanks

Ooooh... Thank you for missed me ... Nipo my Love ... I miss you too.. Other commitments take most of my time and I thank God for the everything.. Thanks again for remembered me it means a lot ...I love your love.. Be Blessed.. Thanks..
 
Ooooh... Thank you for missed me ... Nipo my Love ... I miss you too.. Other commitments take most of my time and I thank God for the everything.. Thanks again for remembered me it means a lot ...I love your love.. Be Blessed.. Thanks..

Aww glad to hear from you dear. Stay blessed. Thanks
 
HAyo ndiyo yanayo nikabili Wa Kwangu ndy hana muda kabisa
 
sasa kama huogagi unadhan mume atakua na hamu na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…