Miezi 8 bila Hayati Magufuli; Alikuwa alama, utambulisho, kielelezo na mwakilishi wa Watanzania

Miezi 8 bila Hayati Magufuli; Alikuwa alama, utambulisho, kielelezo na mwakilishi wa Watanzania

MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim,yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote,sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana,tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli,tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.
Broo najua unampenda sana JPM kiasi huamini kama hayupo duniani. Ndo hivo itabidi ukubali tu mzee hayupo na maisha yanaendelea. Nchi haiwezi kusimama kisa mtu mmoja hayupo. Waliopo wanaendeleza yale mema aliyoyafanya kama ambavyo yeye alipokea kijiti kwa mwingine. Ushauri wangu ni kuwa mwache mzee apumzike kuliko kuibua hoja zinazomhusu yeye matokeo yake ndo hivo kuna ambao watakuunga mkono na kuna ambao watakutukana kwa kumsifia JPM kwasababu mtazamo ni personal kila mmoja ana mtazamo wake juu ya Utawala wa JPM. So mwache apumzike. Mazuri hayahitaji nguvu kuyatangaza, yanaonekana yenyewe
 
MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim, yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote, sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana, tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli, tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.
Ndugu yangu Mwande na Mndewa ikitimia mwaka mmoja tangu JPM aondolewe nchi hii na wote wenye akili timamu tunapaswa kusherehekea uhuru mpya kwa watanzania. Tunapaswa kusherehekea kurudi kwa "order" katika nchi yetu. Tunapaswa kusherehekea mwisho wa upoteaji wa watanzania wenzetu katika mazingira ya kutatanisha. Huu ni mwaka mmoja baada ya uongo na unafiki uliokithiri wa viongozi wetu walioufanya kwa kujua au kutokujua kutokana na uchawi wa nduli yule.
 
2999586_2537165_P6F2RAW0ULeENPMJA9tbbCN4.jpg
👆
Hebu kaone hako kanafiki kaMavieitee kalishauri apige magoti huku kanajua fika kura zitakuwa za Wizi.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Muacheni slow slow jamani.
Lazima tuwaseme waasisi wa Wizi wa Uchafuzi mkuu 2020

Ati... "Iwapo Uchaguzi utakuwa wa HURU na HAKI basi CCM ijiandae kukabizi DOLA kwa CHADEMA"

Sasa magoti walikuwa wanamdanganya nani? Bogus kabisa.
 
Lazima tuwaseme waasisi wa Wizi wa Uchafuzi mkuu 2020

Ati... "Iwapo Uchaguzi utakuwa wa HURU na HAKI basi CCM ijiandae kukabizi DOLA kwa CHADEMA"

Sasa magoti walikuwa wanamdanganya nani? Bogus kabisa.
Mimi ni mkereketwa mkuu wacha ninyamaze
 
MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim, yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote, sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana, tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli, tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.
Uyo alishakufa, fanya mishe zingine tu
 
MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim, yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote, sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana, tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli, tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.
Shetani ni shetani hata impambe vipi! Angalau nchi imepumua kidogo! Tunachoombea ni huyo shetani kutupwa jehanam!
 
Pole MATAGA ndio hatarudi tena hata ufanyeje!

Naomba utueleze watanzania hao uunaowasema unaunganisha na watumishi wa umma waliopitia kipindi cha miaka 6 bila kupanda vyeo wala mshahara?
 
Ila tarehe umetudanganya aise hata ughaibuni tarehe sio hiyo
 
Leslie Mbena,
Sasa ID nyingine ya nini??

Hukuupata ubunge wa kujipendekeza wakati mwendazake yu hai, je kwa sasa kwa mabandiko haya, utapata hata huo utendaji wa kijiji??

Everyday is Saturday................................😎
 
Unapoteza mda wako tu
Amfuate,

Unazungumzia watu kujaa na kuruka kuingia uwanjani! Watanzania ndo wapo hivo kwa ushamba na kushangaa jambo.Tena ukiwa maarufu na ukafa ghafla watafurikaaaa so usijisifu et walivunja mageti ooh kuruka.Hata Dr.Shika walijaa barabarani huko kwao siku amekufa,Kanumba,Ruge,hata akifa huyo jamaa anayejisifia kunywa bia ghafla na wakasema ataagwa uwanja wa taiga patajaa balaa.

So usituletee porojo zako hapa wewe msaka cheo.

Me nasema hivi AFE TENA HUKO kwa unyama na ubaya usio wa kubinadamu alioufanya.Unaua wanadamu wenzako?
 
Miezi nani tuu utaendelea kuhesabu harudi tena fanya yako maisha yamekupiga unamkumbuka mwendazake
 
Stupid, tunamtaka Ben Saanane. Tunamtaka Azory. Maiti za kwenye sandarusi coco beach Ni za Watanzania wenzetu Ni akina Nani. Stupid, acha ujinga wa miradi, miradi mbele ya roho za watu? Nonsense
Pumbafu kabisa wewe! Unajua watanzania wangapi walikufa kwa ubovu wa miundombinu?? Au nao sio watu? Hao wanasiasa wako uchwara ndio watu pekee? Unajua umasikini unatesa kiasi gani wananchi? Unajua wangapi wamekufa kwa kukosa dawa mahospitalini? Unadhani hao sio watu?
 
Wamekufa Mitume wa Mwenyezi Mungu na ndiyo vipenzi wa Mwenyezi Mungu, sembuse nyerere na magufuli!!!!


Mnakufuru sana
 
Back
Top Bottom