NGOSWE.120
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 219
- 233
Hujui hiyo miezi ya mwisho mwisho ndiyo wanaweka masikio ya mtoto? Jivunge mwanao aje azaliwe bila masikio sijui utamlalamikia nani.
faidini kwa raha zenu.endelea kutanua njia,hakuna madhara yoyote yale
Hujui hiyo miezi ya mwisho mwisho ndiyo wanaweka masikio ya mtoto? Jivunge mwanao aje azaliwe bila masikio sijui utamlalamikia nani.
Wana jamvi, heshima yenu wakuu.
Nina mpenzi wangu ana mimba ya miezi 8 kwa sasa after two weeks ataanza mwezi wa tisa, lakini bado anataka yale mambo matamu ya kupeana raha ndani ya 6 x 6.
1. Je niendelee kumpa dude yake aleee kwa raha zake kadiri atakavyo?
1. Je hakuna madhara ya ku do wakati mimba imezidi miezi zaidi ya saba?
Natanguliza shukrani kwa maoni yenu.
Mungu awabariki sana!
mmmmmhndugu yangu mi nakushauri uvae condom mambo ya kusema utatoa mpira nnje na unataka ushindi haito wezekana kwa faida ya mtoto asije kutoka nnjiti
yA NGOSWEEE.......................???!???
hao manesi,ni njaa zao tu,na ukosefu wa huruma kwa mama .kujifungua salama,hilo ndio la kuombaAsante sana mamiii, ila nilisikia hiyo kitu husababisha siku ya kujifungua manesi huwa wanaporomosha sana matusi ..eti kisa kwanini ku-do hadi mtoto anachafuka! ni ya kweli hayo au ni myth tu ambazo hutumika kutisha watu wasile raha til last minute?
Mwachie Ngoswe....yA NGOSWEEE.......................???!???