Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

Wadau,
Umri wangu ni miaka 31 na sijaoa wala hata kufikiria hiki kitu kwa hata miaka mitano ijayo.

Tatizo langu kubwa ni kua toka nlivyoachana na Msichana mmoja hivi yapata miaka mitatu iliyopita nimekua ni Mzee wa "Hit (Eat) and Run" toka miaka hiyo mpaka sasa.

Nimeshakua Na Wasichana zaidi ya watano toka Mwaka 2010 Na wote kwa sababu moja ama ingine tumeachana. Baadhi ya wadau wangu wananiambia kua inawezekana huyo nlieachana nae kabla ya hao naowapitia sasa kaniloga nisipate mwengine ingawa siamini uchawi.

Nikikaa na Mwanamke akfikisha miezi mitano basi ana Bahati sana, na labda atakua mvumilivu sana. Umri unakwenda na Maisha ndio haya.

Nishachangia sana harusi za Wenzangu, kiasi kwamba sasa nao wanamazimisha kunichangia sasa kwa mtu ambae hayupo.

Ndugu na Dada zangu wameshatambulishwa sana mashemeji na mawifi wapya kila kukicha mpaka sasa naona aibu mbele zao.

"Law of Diminishing Marginal Utility" imenia-affect kiasi cha kwamba kumchoka demu mapema ni jambo dogo tu. Wadada wengi wamebaki na vilio baada ya ndoto zao za kuolewa nami kuishia hewani, naona sana Huruma kwa hili but sijui nifanyaje??

Nimekwama kwa hili, nahisi maisha yangu hayatakua mazuri huko mbeleni. Ninaweza kua Na physchological problem, but sijui hata nilitibuje hili tatizo.

kwan lazima uoe?
kuna watu ni bachelor for life na hanana tatizo. wewe unasumbuliwa na kuona wenzio wanaoa,
we endelea kupiga tu kishkaji
 
u hav a psychological prbl mwone shrink kwa msaada
 
Yani tatizo lililopo ni kukinai....ukimpata mpya baada ya miezi 5-7 unakinai kwa maana unataka tena mpya! ingekua haujiskii kuwa na mwanamke kwangu kidogo ingeleta sense, ila wewe ni kwamba unataka kitu kipya! Kwa maana hii sidhani kama una psychological problem, kaka mwili wako umeji-tune kuwa na tamaa flani hivi na kutokua na hali ya kuridhika.

May be chakufanya ni kutulia na kutafakari but just b easy usiwaze sana jiweke sawa na kuwa na moyo wa kuridhika na kile unachokipata then angalia yupi atakae kufaa na anza kuzoeana nae kwa muda mrefu kimahusiano zaidi na sio ki ngono zaidi.

All the best,
muhuni tu huyo,,,,,,
 
Well said my dia..
Huyu bwana anaonekana anapenda sana ngono..just to say the truth..
Ni kweli kabisa kama unampenda binti just for ngono lazima "Law of Diminishing Marginal Utility" ita'apply' tu..
Jipe likizo ya ngono bwana hata mwaka mzima..
Sawa bwana kama ndio tafsiri iliyopo,

But ningekua apenda lile tendo tu la ngono nisingejishughulisha kua nao kimahusiano, ningenunua tu niepuke stress na kubanwabanwa. real napenda nipate wa kimahusiano zaidi kuliko kingono, sema sasa ndio nakinai (Mtu, sio K) mapema!!!
 
niko na tatizo km lako but kwa sasa nimeamua kuwa single angalau kwa mwaka mmoja,i blive next relationship nitakayokuwa nayo itadumu zaidi,and my b italeta ndoa.
Kwahiyo unataka kudanganya watu kuwa kwa tabia kama za huyo mwenzio unaweza kukaa mwaka mmoja bila sex? Au kuwa single maana yake ni nini? Au ni kutokuwa na mwanamke maalum isipokuwa kila siku unachapachapa tu yeyote utakayemkamata?
 
when poverty enters through the door love escapes through the window!!!!
 
Sawa bwana kama ndio tafsiri iliyopo,

But ningekua apenda lile tendo tu la ngono nisingejishughulisha kua nao kimahusiano, ningenunua tu niepuke stress na kubanwabanwa. real napenda nipate wa kimahusiano zaidi kuliko kingono, sema sasa ndio nakinai (Mtu, sio K) mapema!!!
Ahaaaa, kumbe umeshajua tatizo lako ni lipi. Sasa nakushauri utafute K isiyokuwa kwa Mtu maana wewe huwa unakinai Mtu na sio K! Hiyo inaitwa The Law of Reversing Problems! Upo hapo bingwa?
 
Ahaaaa, kumbe umeshajua tatizo lako ni lipi. Sasa nakushauri utafute K isiyokuwa kwa Mtu maana wewe huwa unakinai Mtu na sio K! Hiyo inaitwa The Law of Reversing Problems! Upo hapo bingwa?

Kuna K isiyokua kwa Mtu?
Issue ni mtu mkuu wangu, sio K.
Nifahamishe kidogo kuhusu hii law, including assumptions zake, applicability na faida yake
 
Kaka,
Sijisifu, but Poverty v/s Mimi
=Mbingu v/s Ardhi.

nawiwa kusema kuwa wewe ni maskini wa akili fikra na roho ,ni chungu lakini mezeeaaaaa na konokono kwani atalitelezesha
 
nawiwa kusema kuwa wewe ni maskini wa akili fikra na roho ,ni chungu lakini mezeeaaaaa na konokono kwani atalitelezesha

Duh,
Haya bana,
Kuishi kwingi kuona mengi, huu msemo wa "kumezea kwa konokono" nauongezea kichwani,
Ahsante mkuu, but nisaidie mawazo juu ya hili tatizo pliz!!
 
jamani wengne hatujui hiyo law ya diminishng margnal utility nijuzen tafadhal
 
Hahahaha nakushangaa sana mkuu sasa ulitaka wabadilieje? Mh yaaan leo mweusi kesho aewe mweupe au leo mnene kesho awe mwembamba ? Ckuelewi. Nadhani imefika mahali ujitambue mwenyewe kwamba huridhiki kuwa na mwanamke mmoja kwasababu ukingizia wadada hawabadiki cdhani kamawewe mwenyewe unaweza kujibadilisha labda kimaumbile kimuonekano au cjui unaamanisha nin. Pia ucjiendekezo na hiyo tabia yako itakupotezea vingi katika maisha :hatari::hatari:
 
Back
Top Bottom