Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 384
- 970
Denis Kasia a.k.a Lokasa ya Mbongo, mpiga gitaa la maarufu nchini DRC asie na mpinzani, leo ni miezi mitano tangu amefariki na bado hajazikwa. Inasemekana kuna mgogoro azikwe wapi.
R.I.P mchawi wa gitaa la Rhythm.