Kikwete hakuwa na nguvu, Genge la Mkapa lilimshinda nguvu kama ilivyotokea kwenye Katiba ya WariobaNae katukwaza Sana kutuletea waporipori kushika madaraka ndio madhara yake haya bora Mwinyi wa Zanzibar aje huku ana ahueni na exposure sio Hawa walioko sasa huku bara
Ni mbinu tu za kuvutavuta muda zijaejae ndio wamlipe....ndio hivyo wakipatikana kina Mr kuku kadhaa alhamdulilah.Dhulmati tu.
Walikuwa wanapokeaje michango ya mwanachama ambae hawana taarifa zake muhimu za kuajiriwa?
Wanzazibar watakwambia "Mwinyi wetu mtamsikia tu...kaeni na hao hao", si unawajua wale kwa mipasho.Nae katukwaza Sana kutuletea waporipori kushika madaraka ndio madhara yake haya bora Mwinyi wa Zanzibar aje huku ana ahueni na exposure sio Hawa walioko sasa huku bara
Poleni sana,Kuna Mzee wangu amestaafu 2018 mpaka leo Anasumbuliwa Kaambiwa apeleke Mafaili yake yote ya Sehemu zote alizofanya kazi toka Ameajiriwa mpaka amestaafu.Mzee aliajiriwa 1979 je Nauli ya kuzungukia kwenye hizo Wilaya ili achukue Mafaili anazipata wapi? Kwanini PSSSF wasiwasiliane na Ofisi alizofanya kazi ili watume Mafaili ? Mzee amefanya kazi Mikoa 4
Kuna Mstaafu ambaye alianza kazi mwaka 1982 ambaye alitakiwa kuleta salary slips za mwaka huo ili kuthibitisha kama alikuwa kazini kipindi hicho. Mstaafu huyo alikuwa vizuri sana katika kutunza kumbukumbu zake na alisomba slips zote toka 1982. Sasa wanatafuta kisingizio kingine kipya ili tu wasimlipe pesa yake kwa wakati.Kuna Mzee wangu amestaafu 2018 mpaka leo Anasumbuliwa Kaambiwa apeleke Mafaili yake yote ya Sehemu zote alizofanya kazi toka Ameajiriwa mpaka amestaafu.Mzee aliajiriwa 1979 je Nauli ya kuzungukia kwenye hizo Wilaya ili achukue Mafaili anazipata wapi? Kwanini PSSSF wasiwasiliane na Ofisi alizofanya kazi ili watume Mafaili ? Mzee amefanya kazi Mikoa 4
Serikali imeshikilia hizo hela, halafu yenyewe inatuambia eti serikali ndo imezishikilia na inaiambia serikali iwape wananchi hela zao.
KumbeeEndeleeni kudanganya Wadanganyanyika.
Magufuli kawekwa Ikulu na Mkapa...
JK angewezaje kuzuia ujio wa hao unaowaita 'waporipori'?Nae katukwaza Sana kutuletea waporipori kushika madaraka ndio madhara yake haya bora Mwinyi wa Zanzibar aje huku ana ahueni na exposure sio Hawa walioko sasa huku bara
Kuna Mzee wangu amestaafu 2018 mpaka leo Anasumbuliwa Kaambiwa apeleke Mafaili yake yote ya Sehemu zote alizofanya kazi toka Ameajiriwa mpaka amestaafu.Mzee aliajiriwa 1979 je Nauli ya kuzungukia kwenye hizo Wilaya ili achukue Mafaili anazipata wapi? Kwanini PSSSF wasiwasiliane na Ofisi alizofanya kazi ili watume Mafaili ? Mzee amefanya kazi Mikoa 4