Sielewi kanuni inayotumika katika kukokotoa mafao yetu wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii, kama kuna watu humu hebu wanijuze, wako wanaosema wanatumia mshahara wako wa mwisho kukokotoa, wako wanaosema wanatumia mshahara wako uliowahikuwa mkubwa kupita yote, kipi ni kipi na wanatafutaje hicho unachotakiwa kulipwa kwa mwanachama?