Mifuko ya hifadhi za jamii inakokotoaje mafao ya wanachama?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Sielewi kanuni inayotumika katika kukokotoa mafao yetu wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii, kama kuna watu humu hebu wanijuze, wako wanaosema wanatumia mshahara wako wa mwisho kukokotoa, wako wanaosema wanatumia mshahara wako uliowahikuwa mkubwa kupita yote, kipi ni kipi na wanatafutaje hicho unachotakiwa kulipwa kwa mwanachama?
 
Afu hawa jamaa wamlipe mzee wangu amestaafu tangu mwezi 8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…