lnspector CP
Member
- Apr 28, 2016
- 76
- 30
Habari,
Ndugu wanajukwaa, nategemea wengi wetu tunaifahamu hii mifuko hasa tuliopo kwenye soko la ajira, watu wengi hasa tulio kwenye kampuni binafsi huwa tunapigia mahesabu michango unayoweka kwenye PPF ama NSSF kwa ajili ya kufanyia biashara au kwa mambo mengine ya kiuchumi mara tu utapoacha au kuachishwa kazi.
Lakini kwa tetesi zilizopo ni kwamba mwachama hutochukua michango yako hadi ufikapo miaka 55.
Je hili lina ukweli wowote maana nimeangalia magazeti na kusikiliza habar hii taarifa haipo,kwa anaefaham naomba anipe ukweli
Ndugu wanajukwaa, nategemea wengi wetu tunaifahamu hii mifuko hasa tuliopo kwenye soko la ajira, watu wengi hasa tulio kwenye kampuni binafsi huwa tunapigia mahesabu michango unayoweka kwenye PPF ama NSSF kwa ajili ya kufanyia biashara au kwa mambo mengine ya kiuchumi mara tu utapoacha au kuachishwa kazi.
Lakini kwa tetesi zilizopo ni kwamba mwachama hutochukua michango yako hadi ufikapo miaka 55.
Je hili lina ukweli wowote maana nimeangalia magazeti na kusikiliza habar hii taarifa haipo,kwa anaefaham naomba anipe ukweli