Mifumo ya dunia sio rafiki kwa mwanaume

Mifumo ya dunia sio rafiki kwa mwanaume

Joined
Sep 9, 2024
Posts
12
Reaction score
254
YEAH ,mifumo ya dunia haikupi favour wewe mwanaume, huna haki wala mamlaka.
Kila siku Natafuta Ajira hua anasema hapa jukwaani kwamba dunia sio rafiki kwa mwanaume hua mnabisha

Mfano mzuri mwamba mmoja toka guinea baltazar ,unaona dunia inavomuongelea mwamba kama ni haramia ilihali wanawake 400 wamecheat kwa mtu mmoja na dunia imekaa kimya.. unaweza pima mzani.

Kupitia huu mkasa nimejifunza vitu kama wanawake ,mahusiano na ndoa ni vitu over rated sana. Imagine kua simp ku double text madem,kulia lia na kupiga magoti alfu kuna mwamba anapiga mashine na ikichomoka huyo demu anainyonya naku irudisha..


nimemaliza.
 
Ni kweli na mwanaume hutakiwi kukaa kizembe
FB_IMG_1729595291369.jpg
 
Back
Top Bottom