Mifumo ya Uendeshaji wa Serikali ya Awamu ya Tano, iangaliwe upya! Watanzania "tutachoka" vibaya sana ndani ya hii miaka 10 ya Mhe. Rais Magufuli

Aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio mikoa makandarasi wako kazini kuiunganisha kwa maneno ya wanasiasa kama ni kweli,haya madaraja hayana shida yanasaidia uchumi.ATC ajae akiruhusu tu competition zitajifia labda tu tupate management imara ya watu committed kuhimili ushindani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…