KERO Mifumo ya utoaji maji katika kata ya Luchelele mtaa wa Buhima maeneo ya chuo cha SAUT Mwanza ni changamoto

KERO Mifumo ya utoaji maji katika kata ya Luchelele mtaa wa Buhima maeneo ya chuo cha SAUT Mwanza ni changamoto

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Maji yanatoka usiku wa manane na yanachuruzika kidogo sana inachukua takriban dakika 10 kujaza ndoo kubwa.

Tunashindwa kutambua tatizo ni line za maji au ni sisi. Pia bill ya maji inakuja kubwa kuliko matumizi
 
Back
Top Bottom