Migebuka mibichi na Mikavu Inapatikana

byongo

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
827
Reaction score
1,945
Habari zenu.
Nauza migebuka mikavu na mibichi kutoka kigoma.
Wabichi wanauzwa kwa mmoja sh.1500 na kilo moja sh.11,000
Ipo fresh kabisaaa

Mikavu ipo, kuna mmoja 1000 na 2000
Fungu la wanne kwa sh.2000.

Napatikana Kimara,Dar es Salaam.

Karibuni sana.
0693255995
 
Na muuza migebuka unakuja kuhudumia wateja 2024...

Maana yake huuzi tena migebuka?
Hapana niliacha zamani sana..humu nina miaka dahari sijaingia
 
Thread year 2017
Wateja wanakuja 2023...[emoji1787]
Biashara inataka subira. Ndio kama hivi katangaza mwaka 2017 wateja wamekuja kuanzia 2023 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…