Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ndio hivyo mkuu; sasa hivi anatumia ubabe, ''nipeleke nikale mdudu''Kama sijakosea umesema ni mpenzi,sasa suluhisho ni kuachana naye
Lakini,mmecheki afya yake ya ubongo?Ipo bien au kuna hatihati?
Leo atakwambia hivi kesho litatokea lile. Leo atakuambia ubebe pochi yake, kesho atakuambia umuogeshe Leo atakupiga kiatu, kesho atakunyima tendo. Leo atataka kula hiki, kesho atataka kile. Sasa ananipangia siku za kufanya tendo Tatizo anasema ninamfaidi sana, kwa sababu natumia muda mwingi bila kumaliza mchezo. Nilitamani nimuache, ila nahisi ni kutokana na hali ya ujauzito alionao; ila uzalendo ukinishinda, napiga chini wakuu.
Vumilia na umpende kupiga Chini sio Solution 😜😜😜😅
Leo atakwambia hivi kesho litatokea lile. Leo atakuambia ubebe pochi yake, kesho atakuambia umuogeshe Leo atakupiga kiatu, kesho atakunyima tendo. Leo atataka kula hiki, kesho atataka kile. Sasa ananipangia siku za kufanya tendo Tatizo anasema ninamfaidi sana, kwa sababu natumia muda mwingi bila kumaliza mchezo. Nilitamani nimuache, ila nahisi ni kutokana na hali ya ujauzito alionao; ila uzalendo ukinishinda, napiga chini wakuu.
😀😀😀 bado sijaichekiLakini,mmecheki afya yake ya ubongo?Ipo bien au kuna hatihati?
Nikichoka nakaa pembeni tuHilo ni bomu la asili naona anajitahidi kuitumia fursa vizuri
Sawa mwache🙄
Leo atakwambia hivi kesho litatokea lile. Leo atakuambia ubebe pochi yake, kesho atakuambia umuogeshe Leo atakupiga kiatu, kesho atakunyima tendo. Leo atataka kula hiki, kesho atataka kile. Sasa ananipangia siku za kufanya tendo Tatizo anasema ninamfaidi sana, kwa sababu natumia muda mwingi bila kumaliza mchezo. Nilitamani nimuache, ila nahisi ni kutokana na hali ya ujauzito alionao; ila uzalendo ukinishinda, napiga chini wakuu.
Ni sawa na kubeba gunia la kilo 100 za misumariVumilia na umpende kupiga Chini sio Solution 😜😜😜😅
Tumia ujanjaujanja ujue afya yake kichwani. Unaweza ukamuonea bure tu.😀😀😀 bado sijaicheki
Ndio natafuta mbadalaSawa mwache🙄
Itabidi nifanye hivyoTumia ujanjaujanja ujue afya yake kichwani. Unaweza ukamuonea bure tu.
Ulipomwaga uliunguruma kweli...Wala hukutushirikisha mkuu.....Ni sawa na kubeba gunia la kilo 100 za misumari
Pole yake aisee☹️Ndio natafuta mbadala
Natamani ungekuwa karibu ukishuhudia 😀Ulipomwaga uliunguruma kweli...Wala hukutushirikisha mkuu.....
Hongera Sana...Natamani ungekuwa karibu ukishuhudia 😀
Inawezekana kitambi kikawa ndio chanzoPole yake aisee☹️
Kabisa,sikuzote upo Ivo mkuuInawezekana kitambi kikawa ndio chanzo