Migogoro na mpenzi wangu haiishi

Migogoro na mpenzi wangu haiishi

Mkuu mbona hilo ni jambo la kawaida

Wakati tumepata first born na Bibi yenu Mwaka 47 nilikuwa namsaidia kumbeba mtoto mgongoni kabisa.

Kumbuka nyakati zetu Zahanati zilikuwa mbali sana na hatukuwa na magari/Uber/bolts/ ama Bajaj useme utaita ikupeleke

Kumbebea Pochi ni sehemu ya mapenzi na kumbebisha mpenzi wako
Ma-first born huwa wanapata raha sana kutoka kwa wazazi wao.
 
Sasa mkuu, huyu ni mchepuko anataka kunipa majukumu hayo yote 😀
Kama umeshampa ujauzito, mpe first class service ikiwemo hizo nilizosema.

Kingine, mfungulie mlango wa gari akiwa anataka kupanda ama akiwa anashuka.

Hii inaongeza mapenzi, utajikuta hata kama ana mimba ya miezi 8 utakuta anakupea hata Kwa kushika Ukuta 😜🏃🏃🏃
 
Kama umeshampa ujauzito, mpe first class service ikiwemo hizo nilizosema.

Kingine, mfungulie mlango wa gari akiwa anataka kupanda ama akiwa anashuka.

Hii inaongeza mapenzi, utajikuta hata kama ana mimba ya miezi 8 utakuta anakupea hata kushika Ukuta 😜🏃🏃🏃
😀😀😀
 
  • Leo atakwambia hivi kesho litatokea lile.​
  • Leo atakuambia ubebe pochi yake, kesho atakuambia umuogeshe​
  • Leo atakupiga kiatu, kesho atakunyima tendo.​
  • Leo atataka kula hiki, kesho atataka kile.​
  • Sasa ananipangia siku za kufanya tendo​
  • Tatizo anasema ninamfaidi sana, kwa sababu natumia muda mwingi bila kumaliza mchezo.​
  • Nilitamani nimuache, ila nahisi ni kutokana na hali ya ujauzito alionao; ila uzalendo ukinishinda, napiga chini wakuu.​
Lipia tangazo
 
  • Leo atakwambia hivi kesho litatokea lile.​
  • Leo atakuambia ubebe pochi yake, kesho atakuambia umuogeshe​
  • Leo atakupiga kiatu, kesho atakunyima tendo.​
  • Leo atataka kula hiki, kesho atataka kile.​
  • Sasa ananipangia siku za kufanya tendo​
  • Tatizo anasema ninamfaidi sana, kwa sababu natumia muda mwingi bila kumaliza mchezo.​
  • Nilitamani nimuache, ila nahisi ni kutokana na hali ya ujauzito alionao; ila uzalendo ukinishinda, napiga chini wakuu.​
You know the worst dharau ni kupangiwanratiba ya tendo. Ukiona imefika hapo ,amka simama kama mwanaume, piga hata kofi. Else atajiona mtawala, then dharau zitaongezeka kupelekea penzi kuisha
 
Back
Top Bottom