Migogoro na mpenzi wangu haiishi

Ma-first born huwa wanapata raha sana kutoka kwa wazazi wao.
 
Sasa mkuu, huyu ni mchepuko anataka kunipa majukumu hayo yote 😀
Kama umeshampa ujauzito, mpe first class service ikiwemo hizo nilizosema.

Kingine, mfungulie mlango wa gari akiwa anataka kupanda ama akiwa anashuka.

Hii inaongeza mapenzi, utajikuta hata kama ana mimba ya miezi 8 utakuta anakupea hata Kwa kushika Ukuta 😜🏃🏃🏃
 
😀😀😀
 
Lipia tangazo
 
You know the worst dharau ni kupangiwanratiba ya tendo. Ukiona imefika hapo ,amka simama kama mwanaume, piga hata kofi. Else atajiona mtawala, then dharau zitaongezeka kupelekea penzi kuisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…