Migogoro ya ardhi Dar ilitatuliwa kwa kuvunja mabaraza ya ardhi ya kata

Migogoro ya ardhi Dar ilitatuliwa kwa kuvunja mabaraza ya ardhi ya kata

pombe kali

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
282
Reaction score
561
Baada ya aliyekuwa mkuu wa mkoa Dar kuitisha, watu wenye matatuzo ya kisheria ili watatuliwe Kero zao, majibu yalitoka kuwa kero nyingi ni za ardhi ambazo zilikuwa zinasababishwa na mabaraza ya ardhi.

RC wa Dar kipindi hicho alifanya Maamuzi magumu kuyafuta mabaraza ya Ardhi na kwa kweli imesaidia sana kupunguza migogoro ya ardhi kama umewahi kuoata changamoto kisheria kuhusu masuala ya ardhi, naamini utaelewa jinsi Hawa wajumbe wa mabaraza ya ardhi wanavyo fanya migogoro kuwa endelevu.

Wenyewe ndio wanaouza maeneo mara kumi kumi kisha kesi wanapelekewa wao wenyewe kutatua Mh Lukuvi fikiria kuyaondoa mabaraza haya kwa nchi nzima, kwani wanaongeza migogoro
 
Yamefutwaje mkuu

Naomba unieleweshe, unauziwa kiwanja mara kumi kumi?
 
Yamefutwaje mkuu

Naomba unieleweshe, unauziwa kiwanja mara kumi kumi?
Dar salaam yalifutwa ngazi ya kata, Leo nimetoka sehemu (pwani) kiwanja kimeuzwa kwa watu nane tofauti na waliouza ndio hao hao wajumbe kwenye Baraza la ardhi.
 
Dar salaam yalifutwa ngazi ya kata, Leo nimetoka sehemu (pwani) kiwanja kimeuzwa kwa watu nane tofauti na waliouza ndio hao hao wajumbe kwenye Baraza la ardhi.
Kwahiyo ukitaka kiwanja ufanyeje ili usiingizwe king?
 
Back
Top Bottom