1. Wakulima na Wafugaji.
2. Wenyeji (Watanzania) na Wawekezaji toka Nje.
3. Wenyeji (wa TZ) na Wawekezaji wa Ndani (Wa TZ wenzao).
4. Wenyeji (waTZ) na Viongozi Wastaafu/Waliopo madarakani.
5. Wenyeji (waTZ) na Taasisi mbali mbali.
6. Wenyeji (waTZ) Wao kwa Wao. Na
7. Wenyeji (waTZ) Na Watumishi wa Wizara ya ARDHI.
Nadhani orodha hiyo hapo juu inaweza kuongezeka, hivi nini kifanyike ili migogoro hii ikome? Tumeona au kusikia Maisha ya Watu yamepotea, Watu wameumizana na Hasara za Mali kutokea.
Chanzo na sababu ni ARDHI.
Tuna Wizara Maalum kwa ajili ya ARDHI inawatumishi Nchi nzima chini ya idara zake na
naamini wamesoma na kusomeshwa katika taaluma husika ya maswala ya ARDHI na bila shaka wanalipwa mishahara stahili kwa kazi Waliyoomba na wakatunukiwa.
Sasa tatizzo/Matatizo yanaanzia/yanatokea WAPI???
Naomba tuelimishane:
2. Wenyeji (Watanzania) na Wawekezaji toka Nje.
3. Wenyeji (wa TZ) na Wawekezaji wa Ndani (Wa TZ wenzao).
4. Wenyeji (waTZ) na Viongozi Wastaafu/Waliopo madarakani.
5. Wenyeji (waTZ) na Taasisi mbali mbali.
6. Wenyeji (waTZ) Wao kwa Wao. Na
7. Wenyeji (waTZ) Na Watumishi wa Wizara ya ARDHI.
Nadhani orodha hiyo hapo juu inaweza kuongezeka, hivi nini kifanyike ili migogoro hii ikome? Tumeona au kusikia Maisha ya Watu yamepotea, Watu wameumizana na Hasara za Mali kutokea.
Chanzo na sababu ni ARDHI.
Tuna Wizara Maalum kwa ajili ya ARDHI inawatumishi Nchi nzima chini ya idara zake na
naamini wamesoma na kusomeshwa katika taaluma husika ya maswala ya ARDHI na bila shaka wanalipwa mishahara stahili kwa kazi Waliyoomba na wakatunukiwa.
Sasa tatizzo/Matatizo yanaanzia/yanatokea WAPI???
Naomba tuelimishane: