ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Na je pande za king'oko ni wapi?Migomigo ni hapo Magomeni Mikumi
'King Oko' ni kundi la msanii Babu wa Kitaa sio pande Ila masikani yao nahisi itakua km sio Kinondoni basi Mikocheni ni km ilivyo kwa Chid Benz na La Familia ya Ilala BomaNa je pande za king'oko ni wapi?
Asante sana mkuu kidogo nimepata mwanga.. Swali la mwisho je Davis kona ni mtaa au Jina LA bar.. Kama ni Jina LA bar je ziko ngapi unaweza kunitajia zilipo maana naijua moja Ile ya Kule mitaa ya buza'King Oko' ni kundi la msanii Babu wa Kitaa sio pande Ila masikani yao nahisi itakua km sio Kinondoni basi Mikocheni ni km ilivyo kwa Chid Benz na La Familia ya Ilala Boma
Kona ya Davis IPO Tandika, TemekeAsante sana mkuu kidogo nimepata mwanga.. Swali la mwisho je Davis kona ni mtaa au Jina LA bar.. Kama ni Jina LA bar je ziko ngapi unaweza kunitajia zilipo maana naijua moja Ile ya Kule mitaa ya buza
Hapo Round About Unakwenda Buza, Tandika Sokoni, MwembeyangaKona ya Davis IPO Tandika, Temeke
Mikocheni 104..Na je pande za king'oko ni wapi?
Unapajua Dar kote hivyo?Me Nimefika Dar, kipindi hiko Kibao cha " SASA UNAINGIA DAR" kiko fire afu stand ya mkoa iko KISUTU
Utaniambia nini?
Lango la jijiLango la Jiji ni Posta hapo zipo 2 ya zamani na mpya, ya zamani huku ukishavuka sanamu la Bismarck km unaelekea Bank ya NBC unaelekea Ferry na mpya IPO kule jengo la Ben Mkapa.
Acha uongo lango la jiji ni ukumbi upo magomeni mikumiLango la Jiji ni Posta hapo zipo 2 ya zamani na mpya, ya zamani huku ukishavuka sanamu la Bismarck km unaelekea Bank ya NBC unaelekea Ferry na mpya IPO kule jengo la Ben Mkapa.
Sasa hilo Jina hata wewe Si unaweza ukaanzisha Pub ukaaiita hivyo nani atakupinga? Lango la Jiji Pub au unaonaje?Acha uongo lango la jiji ni ukumbi upo magomeni mikumi
Ndio hivyoLango la jiji
Huenda anamaanisha "Magomeni lango la jiji" kwenye ile bar.
Davis Corners ni eneo linalotakana na jina la Bar..bado panajulikana hivyo hata baada ya hiyo Bar kufa/kukosa umaarufu wake.Asante sana mkuu kidogo nimepata mwanga.. Swali la mwisho je Davis kona ni mtaa au Jina LA bar.. Kama ni Jina LA bar je ziko ngapi unaweza kunitajia zilipo maana naijua moja Ile ya Kule mitaa ya buza
Acha uongoLango la jiji wajanja washamba wanazama ni hapo kariakoo ukimaliza round about ya msimba
ZohanLango la jiji wajanja washamba wanazama ni hapo kariakoo ukimaliza round about ya msimbazi.
Tandika ni mtaa kama ulivyo Temeke..lakini Temeke pia imebeba jina la Wilaya...kuna Mitaa ambayo pia kuitaja lazima ianze na jina Temeke mfano Temeke mwisho, Temeke Wailes nkNaomba kujua tofauti ya:
Temeke na Tandika
Tandale na manzese