Migomigo na Lango la Jiji ni wapi hapo Dar es Salaam?

Migomigo na Lango la Jiji ni wapi hapo Dar es Salaam?

Migo Migo ni hapo kanisani unashuka deluxe mpk kwa macheni kule,
Ukishuka mtaa wa idrisa au usoke utatokea morocco hotel.
Lango la jiji ni mbele kidogo ya traventine ukiwa unaenda kigogo.
 
Mwanetu umeshawahi kufika Kijichi?
Kijichi anaishi mtu gani mwenye influence hapw nchini,napajua ila ni kasehemu kadogo sana ndwni ya wilaya ya temeke,na ili kupafikia lazima upitie ushenzini,siwezi kuishi wilaya ya temeke,bora nikae kibaha
 
Kijichi anaishi mtu gani mwenye influence hapw nchini,napajua ila ni kasehemu kadogo sana ndwni ya wilaya ya temeke,na ili kupafikia lazima upitie ushenzini,siwezi kuishi wilaya ya temeke,bora nikae kibaha
Makamu wa Rais anaishi Homboza Chanika, unapajua?
Majaliwa ana nyumba Toangoma Temeke unapajua?

Halafu niambie, wenye ushawishi wanaishi wapi hapa nchini?
 
Makamu wa Rais anaishi Homboza Chanika, unapajua?
Majaliwa ana nyumba Toangoma Temeke unapajua?

Halafu niambie, wenye ushawishi wanaishi wapi hapa nchini?
Chanika iko ilala jimbo la segerea,hiyo nyumba ya majaliwa hawezi kuishi kwa sasa labda enzi za zamani
 
'King Oko' ni kundi la msanii Babu wa Kitaa sio pande Ila masikani yao nahisi itakua km sio Kinondoni basi Mikocheni ni km ilivyo kwa Chid Benz na La Familia ya Ilala Boma
Kin'goko ishakufa now ilikuwa mikocheni A karibu na shule ya msingi
 
Chanika iko ilala jimbo la segerea,hiyo nyumba ya majaliwa hawezi kuishi kwa sasa labda enzi za zamani
Bro punguza bangi, soma tena nilichoandika. Chanika jimbo la Segerea tangu lini?
By the way bado anaishi na huwa anakwenda.
 
Bro punguza bangi, soma tena nilichoandika. Chanika jimbo la Segerea tangu lini?
By the way bado anaishi na huwa anakwenda.
We ndio bangi,chanika ni ilala sio temeke,unabishana na wazee wa mji,PM hawezi kuishi temeke
 
Lango la jiji Magomeni.
Umenikumbusha miaka Ile, huku lango la jiji, pale kwa Macheni, juu kidogo Deluxe. Hizi zilikua sehemu za kugawana ukimwi. Ni Kati ya bar zilizopoteza nguvu kazi ya taifa kwa ukimwi. Saa kumi na mbili kagiza hakajaanza vizuri wanawake wanaingia chini ya meza na kula koni.
Sehemu nyingine ya kunawa na kuliwa koni ilikua SEWA BAR Buguruni na mwisho wa mchezo Ni BONGA BAR.
 
Kwa wale ambao Dar ni kwao nadhani watakuwa wanapajua migomigo me napasikiaga tu katika nyimbo za wasanii ila sijawahi kupajua naishia kuhisi labda ni maeneo ya Magomeni.

Na sehemu nyingine nataman kuijua maarufu kama lango la jiji ipo njia gani hiyo Lango la Jiji?
migomigo ni jina la magomeni
 
Back
Top Bottom