Migomo katika Vyuo Vikuu na serikali ya awamu ya Nne

Migomo katika Vyuo Vikuu na serikali ya awamu ya Nne

...well,hii hii kitu ya kudai serikali lazima itoe 100% nafikiri ni kukosa kufikiria vizuri,yaani kwa nini mtu wa elimu ya juu asomeshwe kwa 100%,nafikiri hiyo haki ya 100% iishie secondary school lakini mpaka college?kwa nchi maskini kama Tanzania ni kujidanganya tuu na haitawezekana..lazima wengine wajisomeshe sio kudai bure tuu,acha maskini wasiojiweza ambao wana akili wapate hiyo 100% lakini nina uhakika wengi wana uwezo wa kuchangia kidogo na lazima wachangie,JK naye lazima awe mkweli sio ubabaishaji tuu either wape 100% na kata idadi ya wanafunzi au wape only tuition & fees,books,fees then board & meal wajijue kuliko kufunga vyuo na poor education ya kujaza madarasa kupita uwezo bila vitabu!

Koba:

Ningewaomba vijana wa Tanzania wasome kitabu cha Boker T. Washington na cha Kwame Nkrumah na waone ni jinsi gani elimu inavyotafutwa.

Hizi elimu za 100% zinatulemaza sana. Na vilevile madarasa bado hajajaa. Tuna matatizo ya Resources optimization. Nchi ina chuo cha maji, Ardhi, biashara, usafirishaji na takataka kibao. Na wanafunzi wa vyuo vyote hivyo wanataka kwenda university au kuwa na degree. Kwanini tusiwe na university system moja tu.
 
Kuna wanafunzi wenye hali mbaya kweli hatukatai.. lakini this thing yakusema kwamba wasomeshwe 100% is a bit stupid.. Hawa watu kwa kununua DVD na kunywa bia boom likitoka ni mstari wa mbele... lakini baada ya muda mfupi wameishiwa.. niujinga tuu.. And even if u want reforms, its not the kind of thing chakufanywa katika siku moja na katika hali ya jazba na migomo.. Serikali kwavyovyote ingebidi kufanya utafiti wa aina fulani which kwa urasimu wetu it would take time, and reasonably fairly to be honest...

Migomo mingine niyakihuni tuu... Tuacheni kusupport ujinga.. Hii ndio ile mentality yakibongo kuwa maskini hana kosa, mtu ukimgonga na gari, kosa ni lako atakama taa ilikua kijani akavuka.. wewe ukamlipie hospitali, umnunulie gunia la mchele lakula mwezi mmuja na familia yake na umhonge... lol... Hatutafika hivi.
 
...well,hii hii kitu ya kudai serikali lazima itoe 100% nafikiri ni kukosa kufikiria vizuri,yaani kwa nini mtu wa elimu ya juu asomeshwe kwa 100%,nafikiri hiyo haki ya 100% iishie secondary school lakini mpaka college?kwa nchi maskini kama Tanzania ni kujidanganya tuu na haitawezekana..lazima wengine wajisomeshe sio kudai bure tuu,acha maskini wasiojiweza ambao wana akili wapate hiyo 100% lakini nina uhakika wengi wana uwezo wa kuchangia kidogo na lazima wachangie,JK naye lazima awe mkweli sio ubabaishaji tuu either wape 100% na kata idadi ya wanafunzi au wape only tuition & fees,books,fees then board & meal wajijue kuliko kufunga vyuo na poor education ya kujaza madarasa kupita uwezo bila vitabu!

Koba:

Ningewaomba vijana wa Tanzania wasome kitabu cha Boker T. Washington na cha Kwame Nkrumah na waone ni jinsi gani elimu inavyotafutwa.

Hizi elimu za 100% zinatulemaza sana. Na vilevile madarasa bado hajajaa. Tuna matatizo ya Resources optimization. Nchi ina chuo cha maji, Ardhi, biashara, usafirishaji na takataka kibao. Na wanafunzi wa vyuo vyote hivyo wanataka kwenda university au kuwa na degree. Kwanini tusiwe na university system moja tu.

Kuna wanafunzi wenye hali mbaya kweli hatukatai.. lakini this thing yakusema kwamba wasomeshwe 100% is a bit stupid.. Hawa watu kwa kununua DVD na kunywa bia boom likitoka ni mstari wa mbele... lakini baada ya muda mfupi wameishiwa.. niujinga tuu.. And even if u want reforms, its not the kind of thing chakufanywa katika siku moja na katika hali ya jazba na migomo.. Serikali kwavyovyote ingebidi kufanya utafiti wa aina fulani which kwa urasimu wetu it would take time, and reasonably fairly to be honest...

Migomo mingine niyakihuni tuu... Tuacheni kusupport ujinga.. Hii ndio ile mentality yakibongo kuwa maskini hana kosa, mtu ukimgonga na gari, kosa ni lako atakama taa ilikua kijani akavuka.. wewe ukamlipie hospitali, umnunulie gunia la mchele lakula mwezi mmuja na familia yake na umhonge... lol... Hatutafika hivi.


Ni hatari kujifanya unajua wakati hujui, pia ni hatari sana kuongea vitu kwa kugeneralise, is even worse kuona mawazo haya yanatoka kwa watanzania waliosoma bure!

Asilimia 100% ni mkopo! sio bure

Nchi ili iendelee vijana wake inabidi wasome, hili swala kwa kulemaza , ni TZ tu?? USA na Canada wanafunzi wake wamelemaa kwa kupewa loan ya 100%??? hizo hela hamna????

whats wrong kama bodi ya mikopo ikaoperate kama benki?? huku inapata faida huku inakopesha, huku inasomesha wananchi???

mko tayari mtu kutoa mchango wa UVCCM milioni 400?? na sio kuhimiza watu wachangie elimu???

au ndio yaleyale ya akina kayumba??

shule za kimataifa za matajiri shule za magomeni za maskini

ARE WE BUILDING COUNTRY?? AU MATABAKA?

tunaweza inahitaji kujipanga
 
Ni hatari kujifanya unajua wakati hujui, pia ni hatari sana kuongea vitu kwa kugeneralise, is even worse kuona mawazo haya yanatoka kwa watanzania waliosoma bure!

Asilimia 100% ni mkopo! sio bure

Nchi ili iendelee vijana wake inabidi wasome, hili swala kwa kulemaza , ni TZ tu?? USA na Canada wanafunzi wake wamelemaa kwa kupewa loan ya 100%??? hizo hela hamna????

whats wrong kama bodi ya mikopo ikaoperate kama benki?? huku inapata faida huku inakopesha, huku inasomesha wananchi???

mko tayari mtu kutoa mchango wa UVCCM milioni 400?? na sio kuhimiza watu wachangie elimu???

au ndio yaleyale ya akina kayumba??

shule za kimataifa za matajiri shule za magomeni za maskini

ARE WE BUILDING COUNTRY?? AU MATABAKA?

tunaweza inahitaji kujipanga

Hakuna Generalization. Watanzania tuna mentality za kipuuzi. Hao wote wanaolilia mkopo, hakuna ata mmoja mwenye plan ya kulipa mikopo yenyewe.

USA unachukua mkopo na uki-drop au kufukuzwa shuleni unalo deni. Ukimaliza shule unaanza kulipa deni.

Ni watanzania wangapi toka wamemaliza shule wanalipa madeni yao?
 
Hakuna Generalization. Watanzania tuna mentality za kipuuzi. Hao wote wanaolilia mkopo, hakuna ata mmoja mwenye plan ya kulipa mikopo yenyewe.

USA unachukua mkopo na uki-drop au kufukuzwa shuleni unalo deni. Ukimaliza shule unaanza kulipa deni.

Ni watanzania wangapi toka wamemaliza shule wanalipa madeni yao?

Tupo wengi tunao lipa, japo ndo hivo tunazo lipa huenda zinaishia mikonni mwa mafisadi kama jadi!

Pesa zipo za kutosha wakopeshwe wanafunzi wasome, serikali iache ubabaishaji na kutokuwa na dira na vipa umbele vya taifa!

Pesa nyingi zinaelekezwa kwenye siasa tuuu, na mambo ya kipuuzi, hebu fikiria kipa umbele cha Taifa eti ni kuongeza idadi ya wabunge wanawake 50 kwa 50 ambayo hiyo itaongeza matumizi ya bilioni 55 kwa mwaka, hivi kweli hiyo ni sawa? kumbuka ni bilioni 23 tu zinazopungua kuwakopesha wanafunzi wote asilimia 100, hizo zinazo taka potezwa kwa ujinga wa kisiasa zinatosheleza mikopo hiyo zaidi ya miaka 2!!

Fikiria kidogo ndugu.. nadhani vipaumbele vyetu ndivyo vinavyo tupeleka shimoni!
 
Tupo wengi tunao lipa, japo ndo hivo tunazo lipa huenda zinaishia mikonni mwa mafisadi kama jadi!

Pesa zipo za kutosha wakopeshwe wanafunzi wasome, serikali iache ubabaishaji na kutokuwa na dira na vipa umbele vya taifa!

Pesa nyingi zinaelekezwa kwenye siasa tuuu, na mambo ya kipuuzi, hebu fikiria kipa umbele cha Taifa eti ni kuongeza idadi ya wabunge wanawake 50 kwa 50 ambayo hiyo itaongeza matumizi ya bilioni 55 kwa mwaka, hivi kweli hiyo ni sawa? kumbuka ni bilioni 23 tu zinazopungua kuwakopesha wanafunzi wote asilimia 100, hizo zinazo taka potezwa kwa ujinga wa kisiasa zinatosheleza mikopo hiyo zaidi ya miaka 2!!

Fikiria kidogo ndugu.. nadhani vipaumbele vyetu ndivyo vinavyo tupeleka shimoni!

Kwani dira ni lazima zitoke serikalini tu. Katika za jumuia za vyuo watu mbona hambadiliki?

Wewe kama unajua kuwa utakopa na kurudisha kwanini usiende benki?
 
Kwani dira ni lazima zitoke serikalini tu. Katika za jumuia za vyuo watu mbona hambadiliki?

Wewe kama unajua kuwa utakopa na kurudisha kwanini usiende benki?




Zakumi, kama ambavyo Waberoya ameeleza, kutoa mikopo na kuikusanya inawezekana kabisa. Kwenye swali lako hapo juu, hiyo yaweza kuwa sehemu ya solution. Hata hivyo fungu litoke kwenye kodi tunayolipa, maana benki zinafanya biashara kiushindani.
Nadhani unakumbuka yale mabilioni ya Kikwete aliyotoa kwa kila mkoa. Tena akatumia benki (CRDB na NMB).

Tatizo ni kwamba, hizi fedha zimetolewa na serikali ya CCM kama takrima na si mkopo. Ona kwenye kauli ya Kikwete, kuna neno BURE (post number 256). Serikali haina nia ya dhati kuboresha elimu. Na tusitegemee watafanya hilo kama hatutapiga kelele.




.
 
Kwani dira ni lazima zitoke serikalini tu. Katika za jumuia za vyuo watu mbona hambadiliki?

Wewe kama unajua kuwa utakopa na kurudisha kwanini usiende benki?

Usinichekeshe mie, kukopa kama mtu binafsi benki kwani hujui masharti ya huko? dhamana utaitoa wapi mtoto wa mlimia jembe la mkono na mlala kwenye kibanda cha mbavu za mbwa?

Kitu kimoja ambacho unakisahau ndugu, ni kwamba serikali si kiumbe fulani cha ajabu, serikali ni jamaa tu tulio wapa dhamana ya kukusanya kodi zetu ili kwa pamoja ziweze kufanya vitu vya maendeleo kwa ajili yetu sote! Ngoma inakuwa nzito pale ambapo wale tulo wapa dhaman hiyo mnajiona ( wanajiona) kwamba nyie si sehemu yetu, na hivyo kutumia dhamana hizo vibaya mnakusanya kodi zetu mnazitumbua hovyo bila kuweka vipa umbele stahiki kwa ajili ya maendeleo yetu sote walipa kodi!
 
...well,hii hii kitu ya kudai serikali lazima itoe 100% nafikiri ni kukosa kufikiria vizuri,yaani kwa nini mtu wa elimu ya juu asomeshwe kwa 100%,nafikiri hiyo haki ya 100% iishie secondary school lakini mpaka college?kwa nchi maskini kama Tanzania ni kujidanganya tuu na haitawezekana..lazima wengine wajisomeshe sio kudai bure tuu,acha maskini wasiojiweza ambao wana akili wapate hiyo 100% lakini nina uhakika wengi wana uwezo wa kuchangia kidogo na lazima wachangie,JK naye lazima awe mkweli sio ubabaishaji tuu either wape 100% na kata idadi ya wanafunzi au wape only tuition & fees,books,fees then board & meal wajijue kuliko kufunga vyuo na poor education ya kujaza madarasa kupita uwezo bila vitabu!


Nafikiri ni vema ukafahamu kiundani wanadai nini kuliko kutoa conclusion bila kujua.Toka waanze kudai asilimia mia,sijawahi kusikia wakitaka wasomeshwe bure.Hii si kweli.Ninachojua na ninauhakika ni kwamba vijana wanataka mkopo wa asilimia mia.Kwa maana nyingine serikali itawakopesha,kama ianavyowakopesha TRL na mara baada ya masomo yao watalipa mkopo huo!
 
Nafikiri ni vema ukafahamu kiundani wanadai nini kuliko kutoa conclusion bila kujua.Toka waanze kudai asilimia mia,sijawahi kusikia wakitaka wasomeshwe bure.Hii si kweli.Ninachojua na ninauhakika ni kwamba vijana wanataka mkopo wa asilimia mia.Kwa maana nyingine serikali itawakopesha,kama ianavyowakopesha TRL na mara baada ya masomo yao watalipa mkopo huo!

.....sijawahi kuona mtu analazimisha kukopeshwa na akinyimwa anagoma kuingia darasani,facts tunajua ile mikopo ni kama free money tuu,mkopo wa kweli uko bank waambie wakakope bank na wakinyimwa wawagomee bank kuingia darasani then uje hapa useme vijana wamegoma sio kwa sababu wanataka pesa ya bure ya bank ila ni mkopo 100%...anyway hizo luxury za elimu ya bure 100% ni kujidanganya tuu na wataishia kufukuzwa chuo kila siku ila nakubaliana na wengi humu Serikali lazima isomeshe wananchi wake lakini 100% huku wafanyakazi wake haiwezi kuwalipa mishahara ni kujidanganya....kuchangia ni muhimu!
 
Usinichekeshe mie, kukopa kama mtu binafsi benki kwani hujui masharti ya huko? dhamana utaitoa wapi mtoto wa mlimia jembe la mkono na mlala kwenye kibanda cha mbavu za mbwa?

Kitu kimoja ambacho unakisahau ndugu, ni kwamba serikali si kiumbe fulani cha ajabu, serikali ni jamaa tu tulio wapa dhamana ya kukusanya kodi zetu ili kwa pamoja ziweze kufanya vitu vya maendeleo kwa ajili yetu sote! Ngoma inakuwa nzito pale ambapo wale tulo wapa dhaman hiyo mnajiona ( wanajiona) kwamba nyie si sehemu yetu, na hivyo kutumia dhamana hizo vibaya mnakusanya kodi zetu mnazitumbua hovyo bila kuweka vipa umbele stahiki kwa ajili ya maendeleo yetu sote walipa kodi!

Huyo mtoto wa mlimia jembe na mlala kwenye kibanda cha mbavu za mbwa, analalamika nini ? Akiishi mazingira kama ya mtu anatumia jembe la mkono na kulala kwenye kibanda cha mbavu za mbwa 60% ya mkopo anaopata utatosha. Lakini anachowaza ni kupata 100% na kununua TV ya nguvu.

Na vilevile mtumia jembe la mkono na kulala kwenye kibanda cha mbavu halipi kodi Tanzania. Na angekuwa analipa bajeti yetu isingetegemea misaada kwa zaidi ya 40%.

Nakubaliana na wewe kuwa serikali sio kiumbe ni dhamana. Lakini wanafunzi wanakumbuka kuwepo kwao vyuoni ni dhamana kwa jamii?
 




Zakumi, kama ambavyo Waberoya ameeleza, kutoa mikopo na kuikusanya inawezekana kabisa. Kwenye swali lako hapo juu, hiyo yaweza kuwa sehemu ya solution. Hata hivyo fungu litoke kwenye kodi tunayolipa, maana benki zinafanya biashara kiushindani.
Nadhani unakumbuka yale mabilioni ya Kikwete aliyotoa kwa kila mkoa. Tena akatumia benki (CRDB na NMB).

Tatizo ni kwamba, hizi fedha zimetolewa na serikali ya CCM kama takrima na si mkopo. Ona kwenye kauli ya Kikwete, kuna neno BURE (post number 256). Serikali haina nia ya dhati kuboresha elimu. Na tusitegemee watafanya hilo kama hatutapiga kelele.



.

Serikali inawajibu katika sekta nyingi. Tanzania ina vijana wengi walioishia darasa la saba, form 4 na form 6. Je hawa hawahitaji mikopo?

Serikali ikitoa mikopo kwa vijana wengine unaita takrima. Lakini kumbuka vijana wengine wanapokopa pesa mwezi unaofuatia wanaanza kulipa madeni yao. Waliopo univesity wanasubiriwa mpaka wamalize masomo. Hakuna sababu ya nyinyi kufikiri kuwa mna umuhimu zaidi kuliko vijana wengi.

Vilevile wanafunzi fanyeni migomo ya resource optimazation kama mtakubali. Mojawapo ni kubadilisha ratiba na mitaala hili wanafunzi waweze kufanya kazi part time na kujishughulisha katika ujenzi wa taifa wakiwa wanafunzi.
 
.....sijawahi kuona mtu analazimisha kukopeshwa na akinyimwa anagoma kuingia darasani,facts tunajua ile mikopo ni kama free money tuu,mkopo wa kweli uko bank waambie wakakope bank na wakinyimwa wawagomee bank kuingia darasani then uje hapa useme vijana wamegoma sio kwa sababu wanataka pesa ya bure ya bank ila ni mkopo 100%...anyway hizo luxury za elimu ya bure 100% ni kujidanganya tuu na wataishia kufukuzwa chuo kila siku ila nakubaliana na wengi humu Serikali lazima isomeshe wananchi wake lakini 100% huku wafanyakazi wake haiwezi kuwalipa mishahara ni kujidanganya....kuchangia ni muhimu!

Kabla ya vijana waliopo vyuoni kuzaliwa. Wafanyakazi wa Afrika mashariki walianza kudai mafao yao. Mpaka sasa hawajalipwa.
 
Kuna wanafunzi wenye hali mbaya kweli hatukatai.. lakini this thing yakusema kwamba wasomeshwe 100% is a bit stupid.. Hawa watu kwa kununua DVD na kunywa bia boom likitoka ni mstari wa mbele... lakini baada ya muda mfupi wameishiwa.. niujinga tuu.. And even if u want reforms, its not the kind of thing chakufanywa katika siku moja na katika hali ya jazba na migomo.. Serikali kwavyovyote ingebidi kufanya utafiti wa aina fulani which kwa urasimu wetu it would take time, and reasonably fairly to be honest...

Migomo mingine niyakihuni tuu... Tuacheni kusupport ujinga.. Hii ndio ile mentality yakibongo kuwa maskini hana kosa, mtu ukimgonga na gari, kosa ni lako atakama taa ilikua kijani akavuka.. wewe ukamlipie hospitali, umnunulie gunia la mchele lakula mwezi mmuja na familia yake na umhonge... lol... Hatutafika hivi.

Swala la matumizi sio hoja ktk kugoma,hata makazini mwisho wa mwezi ukifika wengine hata majumbani kwao hawarudi mpaka zimekwisha.

Hii migomo inasababishwa na serikali yenyewe kwa kuwa na matumizi mabovu kupita kiasi,sasa mtoto anapomuuliza baba kuwa unasema unapesa lakini matumizi yake ni makubwa na yasiyonufaisha familia.hapo lazima ugomvi utatokea tu.
 
Back
Top Bottom