Migos kundi bora la hip-hop

Migos kundi bora la hip-hop

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
21,952
Reaction score
43,265
Aisee baada ya kifo cha TAKE OFF sijui kama kundi litaendelea kuhit..kifo cha jamaa kimetikisa sana yani bado najiuliza why niggaz wanauana sana huko USA?? ukisikiliza album kama CULTURE III ndo utajua migos ni mafundi sana yani flow zimekaa mahala pake. Hadi sasa sijaona kundi lenye ngoma kali kwa hip hop kama migos anyway REST IN PEACE TAKE OFF.


52d7ac7e-2c1f-46da-9caf-7c3c41b86899.jpg
 
Aisee baada ya kifo cha TAKE OFF sijui kama kundi litaendelea kuhit..kifo cha jamaa kimetikisa sana yani bado najiuliza why niggaz wanauana sana huko USA?? ukisikiliza album kama CULTURE III ndo utajua migos ni mafundi sana yani flow zimekaa mahala pake. Hadi sasa sijaona kundi lenye ngoma kali kwa hip hop kama migos anyway REST IN PEACE TAKE OFF.


View attachment 2405632
Mzee wa Kula kimasihara, Kwanza pole na msiba...!

Lakini ndio kusema hujui kama kundi lishakufwa siku mingi ata kabla ya msiba
 
Sema walishavunja kundi lao labda offset na quavo wamalize tofaut zao
 
Migos ndo ishakwenda, Offset alimt[emoji29]mbea Quavo demu... U snitch wa kiwango cha lami.
Hata wakimaliza tofauti zao nothing will ever be the same again.
Baada ya Migos kuparanganyika nilikua bado naaminia duo ya Takeoff na Quavo, ndo hivyo yaliyotokea yashatokea acha tuwaone waliobaki wakifanya solo
 
BTW Takeoff was the best Migo. Sauti, flow, swag aliwashinda wote... Ndo hivyo vizuri havidumu. Waliobaki kuwasikiliza angalau Offset, huyo mwingine kisauti kinakera
 
wanauana sababu ni wacenge wacenge,halafu mtu anakwambja halalisha bangi!!kwa vichwa hivi vya bongo hapana kwakweli futeni kimya kimya tu.
 
Back
Top Bottom