pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
- Thread starter
-
- #21
Yea, Rais Uhuru ni dikteta. Hahaha! 😀 Ndio maana wote ambao walihusika kwenye shughuli ya Raila kujiapisha kama rais(kosa la jinai), wapo hai na hawajatekwa na wasiojulika. Huo ni uhuni uliopitiliza!Stupid Kenyata, wee ndiye unatoa uraia wa mtu au unatolewa na katiba na sheria. ndio udikiteita wa mihuni hii ya kiafrika eti ni Rais! Rubbish!
Ujue hapo kulikuwa na law technicalities... Raila hakuapishwa kama Rais wa Jamhuri ya Kenya, but Rais wa wananchi... utamshitaki kwa lipi? Rais wa Gor mahia , Rais wa wananchi.. Rais wa wakulima ,Yea, Rais Uhuru ni dikteta. Hahaha! 😀 Ndio maana wote ambao walihusika kwenye shughuli ya Raila kujiapisha kama rais(kosa la jinai), wapo hai na hawajatekwa na wasiojulika. Huo ni uhuni uliopitiliza!
Nimevisoma "Peeling Off the Mask" na "Kidneys for The King" nikatamani sana Tanzania na sisi tuwe na expose bios kama hizi.Huyu jamaa huwa ananikosha sana, sio kwa ujeuri wake huu. Ila jamaa mwenyewe ni 'very brilliant', na ni 'alumni' mwenzangu na alikuwa kiongozi pia, ndani ya SONU, kwenye 'alma mater' yangu The UoN. Mwezi uliopita nilimaliza kusoma kitabu chake cha pili, Kidneys For The King, ambacho alikiandika alipokuwa 'senior adviser' wa RAO. Alimponda kweli kweli swahiba wake wa zamani Raila Odinga na akafichua 'siri' nyingi za kisiasa ndani ya serikali ya muungano, GNU. Hakuna aliyesazwa kwenye kitabu hicho, ambacho alikibatiza 'Book of Revelations', kutoka kwa rais mstaafu Mwai Kibaki hadi CJ wa enzi hizo Willy Mutunga. Ukisoma vitabu vyake, kando na ujeuri wake wa kawaida, utaelewa kwamba Miguna Miguna sio mnafik na huwa anaamini anachokihubiri. Anyway, welcome back Mr. Am not boarding this plane! Long live democracy! Rais Uhuru akimuhakikishia Miguna Miguna kwamba ni haki yake kurejea na kwamba haki yake ya kujieleza italindwa pia.
Ni katiba ipi hiyo ambayo inasema kwamba rais wa jamhuri sio rais wa wananchi? Sio katiba ya Kenya.Ujue hapo kulikuwa na law technicalities... Raila hakuapishwa kama Rais wa Jamhuri ya Kenya, but Rais wa wananchi... utamshitaki kwa lipi? Rais wa Gor mahia , Rais wa wananchi.. Rais wa wakulima ,
my disdain for hypocrisy is blinding me, the supreme court ruled/ordered Uhuru to be the elected president. So what was miguna doing refusing to acknowledge that? If you followed the passport saga, then u chose to be blind to chacha's biases. eg how do u order someone who isnt in ur jurisdiction to be produced in court?There must be something blinding you. If you dont mind could you Clarify a few things....
1. Start with the cort order he chose not to obey. Which one was that?
2. During the swearing in, Which law did he break? Coz what we know here is that they chose their wordings carefully so technically they broke no law n thats why they couldn't be charged with treason.
3. How did the judge miss interpret the constitution? And If he was compromised as you say, why didn't the govt appeal?
was there such a rulling? Its not achallenge, am genuinely askingmy disdain for hypocrisy is blinding me, the supreme court ruled/ordered Uhuru to be the elected president.
ridiculous, yes.If you followed the passport saga, then u chose to be blind to chacha's biases. eg how do u order someone who isnt in ur jurisdiction to be produced in court?
Expose kama za Miguna Miguna huwa hazipendwi na wanasiasa. Wanasiasa ni wanafik na wengi wao huwa wana 'image' flani hivi ambayo huwa wanaonesha hadharani. Ila kiualisia mienendo yao huwa ni 'shady' mno. Kuwaumbua inahitaji ujasiri mkubwa na mtu ambaye anaweza akapenyeza kwenye 'ranks' na 'circles' zao .Nimevisoma "Peeling Off the Mask" na "Kidneys for The King" nikatamani sana Tanzania na sisi tuwe na expose bios kama hizi.The guy is fascinating.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali yenu ime ignore mahakama, simple like that.Drama baada ya drama. Lufthansa Air wamemkataza Miguna Miguna kuabiri ndege zao wakisema kwamba kuna red alert ambayo imetolewa dhidi yake. Msemaji wa serikali Col. Odiambo Oguna asema kwamba hana habari kuhusu hayo na kwamba wao wataheshimu maagizo ya mahakama na request ya rais Uhuru kwamba Miguna asizuiwe kuingia nchini.Airline bars Kenyan firebrand lawyer from Nairobi flight
Lufthansa Air refused to let Miguna Miguna board following a red alert issued by the government.www.theeastafrican.co.ke
Miguna Miguna anaendelea na safari yake na atawasili Kenya leo hii jioni, 9:45PM.Serikali yenu ime ignore mahakama, simple like that.
Sent using Jamii Forums mobile app