Miguna Miguna on board Emirates plane enroute to Dubai

Miguna Miguna on board Emirates plane enroute to Dubai

Miguna mtata sana huyu mtu na utata wake amekua nao na sasa anazeeka nao na probably atakufa nao.

Viva Miguna.
 
wewe si njaa.. mtu ambaye anaifanya emirates izuiliwe kupaa kumsubiri yeye.. na hata nauli hajalipa ila ndege inamuogopa......unafikiri mwenzako.. mtu serikali inamuogopa sio mwenzako
Nimeishia kucheka tu
 
Huyu jamaa kwa kweli wanachomfanyia sio haki kabisa, tatizo lake kubwa ni hilo limdomo lake, anatukana serikali muda wote hata wakati yupo angani anakuja Kenya, alikua kila akipata fursa ya kuongea lazima akashifu. Alifaa kutumia akili atulie hadi aingie ndani ya nchi, atumie muda huu ambapo Raila na Uhuru wamesalimiana kuisanii, sasa hata huko kusalimiana ametukana pia.

Nadhani anachokifanya ni kutafuta umaarufu, yaani aendelee kuangazwa kwenye vyombo vya habari, hivyo anatukana ili azuiwe.
Mkuu nimeshangaa sana kumuona mtu aliyekua anajiita General akinyanyuliwa hovyo hovyo na police huku yeye akijaribu kumkimbilia baba'Odinga' ili amuokoe,hahah

Nikikumbuka siku ya kumwapisha Odinga alivyokua anaongea utadhani labda ni General wa jeshi,hahah

Nadhani Kenya mkiendelea hivi soon watu watakua wanaelewa serikali ikimuamulia kumkomesha mtu hata kisaikolojia tu haishindwi.Bado Jimmy Wanjigi siku yake ya kufadhaishwa.
 
Miguna mtata sana huyu mtu na utata wake amekua nao na sasa anazeeka nao na probably atakufa nao.

Viva Miguna.
Hahah umeona na utata wake alivyonyanyuliwa juu akawa anataka kukimbilia kwa baba "odinga" hahah hapo ndo nimemuona jamaa huyo General ni fala tu
 
ila kuna wazee watata duniani... mzee msumbufu kama nini... nauli hajalipa ila hadi uhamiani ya kenya inafosi emirates isiruhusiwe kupaa bila kuondoka na miguna...
Teh teh ila General mwenyewe fala tu kadakwa juu juu huku anamkimbilia baba"Odinga" hahah
 
Hili linahoji pia kwa namna fulani suala la uraia wa nchi mbili... faida na hasara zake..

Hasa kwa wa-Tanzania ambapo sheria hairuhusu uraia pacha. Inabidi wenye uraia pacha wa-siri kuwa makini ktk kipindi hiki cha kuwasaka / purge wale wasio 'wazalendo '. Mwana diaspira Ukishuka Dsm na passport mbili ktk mifuko ya nguo zako au ndani ya mikoba utakuwa halali yao
 
I think it was stage managed...Raila and Orengo were present and it still happened? Feels like RAO could have been in on it...Am just speculating....The royal “handshake” came with conditions and MM was no part of it...MM was against the handshake...If one was RAO what would one do? This is my conclusion which could be right or wrong..RAO has been known to betray people...Ask one WSR...Am beginning to feel MM is a political headache to some power brokers...Just my two cents...
 
I think it was stage managed...Raila and Orengo were present and it still happened? Feels like RAO could have been in on it...Am just speculating....The royal “handshake” came with conditions and MM was no part of it...MM was against the handshake...If one was RAO what would one do? This is my conclusion which could be right or wrong..RAO has been known to betray people...Ask one WSR...Am beginning to feel MM is a political headache to some power brokers..
You hit the bulls eye! RAO made a deal for his friend, James Bond. His cases were dropped. Miguna Miguna was left out in the cold while infact he has no case to answer. Poor bastard.
 
tatizo lake kubwa ni hilo limdomo lake, anatukana serikali muda wote hata wakati yupo angani anakuja Kenya, alikua kila akipata fursa ya kuongea lazima akashifu. Alifaa kutumia akili atulie hadi aingie ndani ya nchi, atumie muda huu ambapo Raila na Uhuru wamesalimiana kuisanii, sasa hata huko kusalimiana ametukana pia.

Nadhani anachokifanya ni kutafuta umaarufu, yaani aendelee kuangazwa kwenye vyombo vya habari, hivyo anatukana ili azuiwe.

Alikuwa anatukana serikali akiwa angani?

Kama hujawahi kutoka nje ya mipaka ya Afrika huwezi kuelewa anachokifanya Miguna. Mwenzio anajaribu kuleta Afrika vision ya maisha aliyoyaona Magharibi.

Ukiwa Canada au Magharibi popote ukasimama barabarani ukaanza kutukana serikali hakuna atakaeita polisi, wewe ndio unaonekana chizi. Ukiwa ndani ya ndege wahudumu watabonyeza vi signal buttons kwamba tuna chizi huma ndani jamani! Lakini hakuna nguvu ya dola itakayo panic kwamba eti serikali imetukanwa!

Labda kwa sababu sisi huku vi dola vyetu havijiamini, vi dikteta vyetu vina manguvu ya kijeshi ya kutisha unarmed, unsuspecting, defenseless citizens. Donald Trump anakosa usingizi eti sijui mcheza sinema wa Hollywood kamwambia ana kibamia?
 
March 28, 2018
Nairobi, Kenya
Miguna Miguna: I'm suffering at JKIA cell in Nairobi
  • The barrister, who landed on Monday afternoon, has been denied entry into Kenya despite two court orders directing his return after he was illegally deported to Canada.

  • In a statement, Dr Miguna on Wednesday said police had locked him “inside a tiny and filthy toilet without access to basic hygiene and necessities of life”.

  • The Nation could not immediately confirm his allegations because police have since blocked lawyers and journalists from accessing him.
 
Alikuwa anatukana serikali akiwa angani?

Kama hujawahi kutoka nje ya mipaka ya Afrika huwezi kuelewa anachokifanya Miguna. Mwenzio anajaribu kuleta Afrika vision ya maisha aliyoyaona Magharibi.

Ukiwa Canada au Magharibi popote ukasimama barabarani ukaanza kutukana serikali hakuna atakaeita polisi, wewe ndio unaonekana chizi. Ukiwa ndani ya ndege wahudumu watabonyeza vi signal buttons kwamba tuna chizi huma ndani jamani! Lakini hakuna nguvu ya dola itakayo panic kwamba eti serikali imetukanwa!

Labda kwa sababu sisi huku vi dola vyetu havijiamini, vi dikteta vyetu vina manguvu ya kijeshi ya kutisha unarmed, unsuspecting, defenseless citizens. Donald Trump anakosa usingizi eti sijui mcheza sinema wa Hollywood kamwambia ana kibamia?

Bolded very true...sijui kwanini wanapanic na jitu lenyewe halina mvuto wa kisiasa...Inawezekana labda Raila naye kapanic na huyu jamaa...
 
March 28, 2018
Nairobi, Kenya
Kenyan opposition figure deported to Dubai, lawyers say
NAIROBI, Kenya — Acting in the middle of the night, Kenyan authorities handcuffed and deported an opposition politician whose attempt to enter the country led to him being detained in an airport toilet for more than a day, lawyers said early Thursday.

Miguna Miguna, targeted in a Kenyan government crackdown amid lingering election tensions, was sent to Dubai even after a court ordered authorities to release him, lawyer Cliff Ombeta said. Another lawyer, James Orengo, said police at the airport roughed them up and forced them to leave when they tried to serve the court order.

There was no immediate response from Kenyan authorities, though Kenya’s immigration department retweeted a post calling on the public to ignore a rumor that Miguna had been sedated or drugged.

The deportation ended the airport drama in which Miguna posted from what he called “Toilet at Terminal 2,” saying he had been detained in the “filthy” facilities at the country’s main airport in Nairobi.
Source:
https://www.washingtonpost.com/world/africa/kenyan-opposition-figure-miguna

March 29, 2018 Nairobi, Kenya.
The government successfully deported the self-proclaimed NRM General after holding him at the airport facility for three days. He is aboard an Emirates Flight EK 722 headed to Dubai Source: After foiled attempt, State finally deports Miguna
 
Hivi mbona Kibarakashe hakidondoki pamoja na vurugu zote au anakitia supaglue
 
Huyu jamaa kwa kweli wanachomfanyia sio haki kabisa, tatizo lake kubwa ni hilo limdomo lake, anatukana serikali muda wote hata wakati yupo angani anakuja Kenya, alikua kila akipata fursa ya kuongea lazima akashifu. Alifaa kutumia akili atulie hadi aingie ndani ya nchi, atumie muda huu ambapo Raila na Uhuru wamesalimiana kuisanii, sasa hata huko kusalimiana ametukana pia.

Nadhani anachokifanya ni kutafuta umaarufu, yaani aendelee kuangazwa kwenye vyombo vya habari, hivyo anatukana ili azuiwe.
Huyo ni Lissu wenu
 
Kama Serikali inakataa kutii amri za Court

Hivi will they use the same Court kushitaki watu au??

Afrika kuna upuuzi sana
 
Raila nae amesaliti kwa mana saiv kenya watu wangeshaingia mtaani

Raila amewasaliti
 
Back
Top Bottom