Miguu inatoa mlio, msaada tafadhali

Miguu inatoa mlio, msaada tafadhali

Paloma

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2008
Posts
5,331
Reaction score
4,955
Hello wana JF na FJ Doctor.

Kuna dada hapa offisini kwetu akivaa viatu vyenye soli hata nchi mbili tu magoti yanatoa sauti kama ya ile inayosikia mtu akivunja vidole (eehn jamani lugha ngumu sijui naeleweka) akivaa high heels ndo kabisaaa miguu intoa hiyo sauti hadi balaa. lakini akivaa flat shoes hakuna mlio wowote. Basi mwenyewe anakerwa sana na hii hali ila hajui afanyeje. Sio mnene hivyo uzito, mwenyeweni mwembamba kabisa.

Sasa je hii inasababishwa na nini?
na je tiba yake ni nini? (in terms of medication, lishe, mazoezi etc)
 
Hello wana JF na FJ Doctor.

Kuna dada hapa offisini kwetu akivaa viatu vyenye soli hata nchi mbili tu magoti yanatoa sauti kama ya ile inayosikia mtu akivunja vidole (eehn jamani lugha ngumu sijui naeleweka) akivaa high heels ndo kabisaaa miguu intoa hiyo sauti hadi balaa. lakini akivaa flat shoes hakuna mlio wowote. Basi mwenyewe anakerwa sana na hii hali ila hajui afanyeje. Sio mnene hivyo uzito, mwenyeweni mwembamba kabisa.

Sasa je hii inasababishwa na nini?
na je tiba yake ni nini? (in terms of medication, lishe, mazoezi etc)


Huyu mbona kama ni wewe?? Dah mpe pole ila atapata msaada tu hapa jf
 
Huyu mbona kama ni wewe?? Dah mpe pole ila atapata msaada tu hapa jf


we umesha-charge hiyo naniliu nije.....?!?!?

ni yeye thru mimi! coz mimi ndo niliemba msaada!
Doesnt matter!
We toa msaada!
 
VP MAJI YA KUNYWA ANA URAFIKI NAYO? KAMA YUPO MBALI NAYO INAWEZA CHANGIA.anywe maji mara kwa mara.
 
we umesha-charge hiyo naniliu nije.....?!?!?

ni yeye thru mimi! coz mimi ndo niliemba msaada!
Doesnt matter!
We toa msaada!

Njoo tu tena nacharge bure simu aina zote!!
 
Back
Top Bottom